Recent content by stev30sudi

  1. stev30sudi

    SI KWELI PreGE2025 Wakili Robert Amsterdam amejitoa kusimamia kesi za CHADEMA

    Mengi tunayoyaona na yakuwa mengi siku hadi siku
  2. stev30sudi

    UMOJA WA WASTAAFU TANZANIA

    RETIREEES ASSOCIATION OF TANZANIA (REAT) 1.Umoja wa Wastaafu Tanzania ni Jumuiya ya kiraia iliyosajiliwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe 14/3/2022 na kupewa Na. ya SA 22924 Makao Makuu ya REAT yako Jijini Dar Es Salaam Wilaya ya Ilala . 2.Ni Umoja kwa Mstaafu yeyote anaepokea...
  3. stev30sudi

    Huwa najiuliza mtu wa kwanza kufanya ngono alijuaje kama viungo hivyo vimeumbwa kwa kazi hiyo

    Kadri unavyozidi kujifunza ndivyo unavyogundua kuwa kumbe ulikuwa hujui mengi na utagundua pia kuwa kumbe bado kuna mengi sana ambayo huyajui na kuwa na hamu ya kujifunza zaidi
  4. stev30sudi

    MwanaCHADEMA mwenye nia ya kugombea ubunge 2025 kwenye majimbo yafuatayo ni vyema akaachana na huo mpango. Tayari yana wenyewe

    Una maanisha wasiwepo wengine wanaoruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuwa mgombea?✍️
  5. stev30sudi

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Chama cha Wazee Wanaume Tanzania kimezinduliwa rasmi Oktoba 27th, 2023 katika ukumbi wa Kilimani Club Jijini Dodoma
  6. stev30sudi

    JWTZ: Daima tutamlinda na kumtii Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu

    Tutoe hoja za msingi zenye ushirikishi kwa wote!🤷
  7. stev30sudi

    Jimbo la Tundu Lissu lina hali mbaya, hakuna maendeleo yoyote

    Nawatakieni kheri ya Krismas na Furaha ya mwaka mpya 2018 wanashiriki wa majukwaa yote katika JF na malumbano kwa hoja.
  8. stev30sudi

    WASHINDI WA IPHONE 6

    Hiyo nzuri
  9. stev30sudi

    WASHINDI WA IPHONE 6

    Naomba msaada wa kujua namna mtu anavyoweza kufuatilia zawadi anapocheza kupitia link > shindaiphone.ml na kupata matokeo ya HONGERA kuwa ameshinda iphone 6. Yeyote anayefamu kuhusu jambo hili naomba anielimishe!
  10. stev30sudi

    Mrejesho wa mama Neema. Je, nichukue milioni tano au niache?

    Lakini, ulikusanya ushahidi kwa madhumuni gani?
  11. stev30sudi

    Halotel configuration

    Andika SMS: CONFIG tuma kwenda namba 15503, utapokea jibu nawe fuata maelekezo!
Back
Top Bottom