RETIREEES ASSOCIATION OF TANZANIA (REAT)
1.Umoja wa Wastaafu Tanzania ni Jumuiya ya kiraia iliyosajiliwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe 14/3/2022 na kupewa
Na. ya SA 22924
Makao Makuu ya REAT yako Jijini Dar Es Salaam Wilaya ya Ilala .
2.Ni Umoja kwa Mstaafu yeyote anaepokea...
Kadri unavyozidi kujifunza ndivyo unavyogundua kuwa kumbe ulikuwa hujui mengi na utagundua pia kuwa kumbe bado kuna mengi sana ambayo huyajui na kuwa na hamu ya kujifunza zaidi
Naomba msaada wa kujua namna mtu anavyoweza kufuatilia zawadi anapocheza kupitia link > shindaiphone.ml na kupata matokeo ya HONGERA kuwa ameshinda iphone 6. Yeyote anayefamu kuhusu jambo hili naomba anielimishe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.