Halotel configuration

Halotel configuration

Huo mtandao umeshaanza? Line zake zinapatikana wapi?coverage ikoje countrywide?
 
huyu anazingua uje utoe maelezo nusunusu maanake ni nini?!
 
Wadau ninaomba mwenye kujua setting za internet za hawa halotel kwenye android phones

tuma neno CONFIG kwenda namba 15503 utapokea hizo setting za internet ya Halotel.
fanya ulete mrejesho
 
Wameanza kuuza line? Arusha wako wapi?

no line hawajaanza kuuza mpaka watakapozindua me nilipewa kama wakala wao tu.,
kwa arusha unaweza watafuta fb page yao ya Halotel Tanzania ukawatumia sms inbox wakakuelekeza walipo
 
no line hawajaanza kuuza mpaka watakapozindua me nilipewa kama wakala wao tu.,
kwa arusha unaweza watafuta fb page yao ya Halotel Tanzania ukawatumia sms inbox wakakuelekeza walipo

Ok mkuu nifanyie mpango wa special number ntakupm kwenye inbox yako
 
Hallo....
Username: halotel
APN: b-internet
Then save na uinjoy mb 5000 bure.. Usipoelewa niulize.

NAME: HALOTEL
APN: b_internet

Hapo lazima uweke underscore yaani (_) na si dash ionekanyo hapo juu kwenye red.
Inayotakiwa ni hii ya blue nimeweka hapo.
 
Back
Top Bottom