Dah we mjumbe Safi sana umeeleza facts yaani nimependa
Binafsi hili suala la kuwekeza katika sekta ya kilimo inakuna sana nilikuwa najiuliza niende wapi nikajichimbie huko hata kama ni kijijini sana mi niko poa kabisa, naanza kupata mwanga na nilifocus sana RUVUMA kulingana na hali ya hewa ya...
Mi napata ukakasi kwasababu yangekuwa malaini labda tigo sasa kama magumu seam aliyafil kabisa hata yanatoka, nashindwa kuelewa kwanini hakuwah yeye kuchukua shuka ili msela asijue mapema [emoji135]
Mimi bwana nimeona niache afanye anavyotaka yeye maana kila kitu ninachomuelekeza hafanyi anasema namuona kama hajui na nikimwambia afanye kwavile anajua hafanyi.....nikaoa mwengine na napiga nae kazi za shamba balaa, maendeleo sana tu, and kuna wakati nasikitika kupoteza nae muda yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.