Recent content by Stephen64

  1. Stephen64

    Kati ya Songea na Singida ni mkoa upi mzuri kwa mtu anaetaka kuishi na kujishuhurisha na ufugaji na kilimo?

    Dah we mjumbe Safi sana umeeleza facts yaani nimependa Binafsi hili suala la kuwekeza katika sekta ya kilimo inakuna sana nilikuwa najiuliza niende wapi nikajichimbie huko hata kama ni kijijini sana mi niko poa kabisa, naanza kupata mwanga na nilifocus sana RUVUMA kulingana na hali ya hewa ya...
  2. Stephen64

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nataka wimbo ule 'I'll give it all just to be with you again' sijui hata aliimba nani ila naupenda sana...
  3. Stephen64

    Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

    Duh mi nalima tu ila sivijui kwa kiingereza sasa juzi kati hapa wazungu wmenitoa jasho ndiyo nikasema kuna umuhimu wa kuvijua
  4. Stephen64

    Tembele Bamia na mchicha, kwa lugha ya kiingereza hivi vitu vinaitwaje?

    Wazee wakulima wenzangu naomba mnisaidie hii kitu
  5. Stephen64

    Natafuta pamp ya solar

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Stephen64

    Natafuta pamp ya solar

    Naomba msaada kwa anaejua zinakopatikana pamp za solar kwaajili ya kuvuta maji kisimani ama hata kwenye mto tafadhali sana Mkulima mdogo
  7. Stephen64

    Mwanamke kujisaidia wakati wa kujamiana

    Mi napata ukakasi kwasababu yangekuwa malaini labda tigo sasa kama magumu seam aliyafil kabisa hata yanatoka, nashindwa kuelewa kwanini hakuwah yeye kuchukua shuka ili msela asijue mapema [emoji135]
  8. Stephen64

    Tushirikishane akili za wanawake ambao tunakuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi

    Mimi bwana nimeona niache afanye anavyotaka yeye maana kila kitu ninachomuelekeza hafanyi anasema namuona kama hajui na nikimwambia afanye kwavile anajua hafanyi.....nikaoa mwengine na napiga nae kazi za shamba balaa, maendeleo sana tu, and kuna wakati nasikitika kupoteza nae muda yule...
  9. Stephen64

    Namna ya kulima na kutunza ufuta mpaka kuvuna.

    Wakuu naombeni msaada kwa mwenye ujuzi wa kilimo cha ufuta garama zake na soko liko vipi. Asanteni sana
Back
Top Bottom