Wazee wakulima wenzangu naomba mnisaidie hii kitu
Ongezea ngongwe(nyanyachungu) biringanya, hoho, majani ya kunde, na mchunga
kageuka mbayuwayuhuwa somtym unatumia kinywaji?/ mbn umekuwa payupayu sana ? ni wewe kweli? toka kwenye interview full kivuruge why dis !yy kaomba kujua hayo mawili wewe unamuwekea mengine!!!!!!!!!
Kinywaji situmii..hapo nimeweka ili na mimi nijue majina ya hivyo nilivyoweka kwa maana sijui...Hivyo tuhuwa somtym unatumia kinywaji?/ mbn umekuwa payupayu sana ? ni wewe kweli? toka kwenye interview full kivuruge why dis !yy kaomba kujua hayo mawili wewe unamuwekea mengine!!!!!!!!!
Amarath lakini wazungu wana mboga inaitwa spinach ambayo tunaichanganya na mchichaladyfingers(oats) bamia,mchicha nimesahau !ila kibiolijia nakumbukaga ni amaranther
Leo wameku hack nnOngezea ngongwe(nyanyachungu) biringanya, hoho, majani ya kunde, na mchunga
Mwe
- Tembelering
- Bamiaring
- Mchicharing
Okra sio oatsbamia -ladyfinger au oats km sikosei
mchicha nishasahu ila biologiocal name nakumbuka form 1 amaranther
Hata mimi nafahamu ladyfingersladyfingers(oats) bamia,mchicha nimesahau !ila kibiolijia nakumbukaga ni amaranther