Kama ata ujui vigezo gani vinatumika ili ukasomee Ualimu, unakuja unakurupuka zero anaenda ualimu.nawasi wasi na wewe either akili huna, mvivu wa kutafuta taarifa, unapenda sifa za kijinga, una chuki na walimu na mwisho kabisa hujitambui ..
Kazi ya uwalimu inalawama sana kama utakuwa mtu una jaji kimehemko .nakumbuka kuna kipindi ilikuja staff kesi ya dogo wa darasa la v.wamemlawiti dogo wa chekechea mpka anashindwa kukaa na ushahidi upo..hivi kama wew ni mwalimu unafanya nini kwa haraka haraka.na wewe mzazi jion mwanao anakuja ata...
Ni wazi sasa.Congo waamue kulipigania taifa lao.kagame ni mtu hatari sanaa.ata msumbiji anawatu wake wapo kwa ajili ya amani, lakini wana operation chafu za kubeba mali za watu wa msumbiji..nilitamani ma Rais wote waungane kussuport kuwatoa M.23
Pamoja na njia zote hizo.kuna mtindo hiyo chupa wanayotumia kupimia wameieka kwenye moto kwa mbali..inabadili umbo maeneo ya chini na katikati ..ukitaka kuamini nenda na chupa yako waitumie hiyo kupimia lazma wakatae.siku chupa hizi za maji zinawekwa kwenye moto ili kuzibadili maumbo zinakuwa...
Nadhani jamaa angeeleza alipanda kipindi gani cha hali ya hewa , na je alipanda alizeti pekee au alichanganya na mazao mengine katika eneo moja!Mimi nimetumia mbegu ya ASA na nipo Mtwara nipo navuna.aijafanya vibaya wala so vizuri sana ila nimeona inamwelekeo mzuri..
Mbowe kwenda ikulu juzi ilikuwa na maana kubwa..nionavyo ilikuwa ni kumwambia Rais .chama kinaenda kuwamwaga wale covid waliowekwa na Mwendazake na ndugai.sasa tunaomba sana usije ukazuia hili..na yeye akaambiwa kawambie vijana wako waache kutukana mitandaoni..ndo mana smash ya jana ilikuwa ya...
Daah na kuna mwingine alikuwa anajiita Ezeden the rocker akitangaza asubuhi.Kiss fm ndo redio ambayo kiukweli ilikuwa inawatangazaji wanaovutia kuwaskiliza..De7 na demu mmoja hivi sijui akiitwa nani!
Mkuu yote hiyo ni mipango mizuri.ukitaka ufanikiwe jibu rahisi na lazma wewe uwe front.habari ya kuambiwa dawa imeisha tuma ela.utakuja kulia vibaya tuulize sisi tuliokuwa huku
Point yako aina mashiko.kusema sekondari wanakuja wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.serikali ilishatoa mwongozo mwanafunzi asiejua kusoma na kuandika anaruhusiwi kupanda darasa. anafaulu vipi mtihani mtu asiejua kusoma wala kuandika?laumu mfumo wa nchi yako kuhusu elimu.elimu imejaa siasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.