Walimu wa Sekondari kusimamia mitihani ya Shule za msingi ni udhalilishaji wa taaluma nchini

Hii nimeipenda sana maana baraza wamepindua meza kama kuna ujanja ujanja kwa kiasi fulani utapungua.
 
Mkuu kama wanalipwa posho ya kusimamia mitihani haina shida!
Bora mkono uende kinywani.
 
Semina elekezi za NECTA hadi sasa hazina malipo ya semina!!Walim wanakopwa tu hata wakati wa tarehe mbaya kabisa!

Kwa mfano halmashauri ya uyui imefanya semina mbili za necta bila malipo kwa walim!Ile semina ya wataalamu wa maabara na hii ya darasa la nne!

Walimu wanakopwa nauli na hela ya semina elekezi!!!Necta mnajua unyanyasaji huu wa walimu?!!!Naombeni mfuatilie
Asee kilosa pia wamekopwa mzee hii nchi hii khaaaa!
 
Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima?
Utanisamehe kwa kukukwaza.

Hao wenye shahada walipoletwa kufundisha Primary mbona hukulalamika..?

Nikisema ni wivu, nitakuwa nakosea?
 
Wameniudh sana wapuuz kabsaaa kila mtu asimamie kaz yake na kama kuna udanganyifu ukamatwe na uthbitiwe sio kukelana
 
Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari. Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!

Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima? Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!

Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu? Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA.

Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja.
Sema mnalalamika kwa Sababu mmenyanganywa tonge walimu wa sekondari kusimamia mitihan Yenu ya form four. Ila sekondar s mnasemaga walimu wa PRIMARy wanawaletea wanafunz wasio jua kusoma na kuandika. Pambaneni sasa muwapeleke vipanga tu.

Sera zinabadilika kuwa flexible mwalimu. Acha kulalamika
 
M
Semina elekezi za NECTA hadi sasa hazina malipo ya semina!!Walim wanakopwa tu hata wakati wa tarehe mbaya kabisa!

Kwa mfano halmashauri ya uyui imefanya semina mbili za necta bila malipo kwa walim!Ile semina ya wataalamu wa maabara na hii ya darasa la nne!

Walimu wanakopwa nauli na hela ya semina elekezi!!!Necta mnajua unyanyasaji huu wa walimu?!!!Naombeni mfuatilmkuu ulikuwa kigwa au ndono
 
Walimu walisimamia uchaguzi sio kutoa majumuhisho na kutangaza matokeo alafu walikuwepo manesi, graduate kibao tu kwenye uchaguzi heshimu walimu wewe
 
Hao wakalia viyoyozi WAMEJISAHAULISHA KAMA NI HIVI MAJUZI TU WALIWAHAMISHA WALIMU WA SEKONDARI KWENDA KUFUNDISHA SHULE YA MSINGI, tena maajabu ya firauni wengine na degree zao wakapelekwa primary wale wa diploma wakabaki sekondari...
Sasa shule za msingi na sekondari zina content sawa ya taaluma kwa walimu wake baada ya hilo zoezi tena muda mwingine wenye taaluma za juu zaidi wapo primary halafu watu kadhaa waliojipea mamlaka wanakurupuka na kufanya maamuzi
Diploma ni elimu bora kuliko degree ,ndio maana shule za private zinaoenda diploma!!!
Unaweza ukawa na degree wakati hujaisoma ila huwezi kuwa na diploma kama hujasoma upoooooo!??
 
Walimu walisimamia uchaguzi sio kutoa majumuhisho na kutangaza matokeo alafu walikuwepo manesi, graduate kibao tu kwenye uchaguzi heshimu walimu wewe
Mjinga huyo kakosa nafasi kapanic ni mwalimu wa msingi huyo
 
Napongeza uamuzi wa NECTA, hii itakomesha mianya ya udanganyifu haswa kwa primary, kwa miaka mingi walimu wa primary wamekua wakihusika kwenye udanganyifu mitihani ya darasa la Saba hivyo kupeleka sekondari wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.
Point yako aina mashiko.kusema sekondari wanakuja wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.serikali ilishatoa mwongozo mwanafunzi asiejua kusoma na kuandika anaruhusiwi kupanda darasa. anafaulu vipi mtihani mtu asiejua kusoma wala kuandika?laumu mfumo wa nchi yako kuhusu elimu.elimu imejaa siasa na maagizo ya kijinga unategemea nini.huwezi zuia udanganyifu kwa mbinu hzo.Mwalimu wa sekondar anakaa nje ndan anasimamia mwalimu wa msingi.sasa kama unazuia mini halo!


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Hao wakalia viyoyozi WAMEJISAHAULISHA KAMA NI HIVI MAJUZI TU WALIWAHAMISHA WALIMU WA SEKONDARI KWENDA KUFUNDISHA SHULE YA MSINGI, tena maajabu ya firauni wengine na degree zao wakapelekwa primary wale wa diploma wakabaki sekondari...
Sasa shule za msingi na sekondari zina content sawa ya taaluma kwa walimu wake baada ya hilo zoezi tena muda mwingine wenye taaluma za juu zaidi wapo primary halafu watu kadhaa waliojipea mamlaka wanakurupuka na kufanya maamuzi
Pole sana mwalimu wa primary naona tonge limepokwa kabla hujameza !!! Tafuta extra activity ya kufanya achana na kazi maalumu mzee!!! Nani alishafanya kaz maalumu akawa tajirii!?? Mbona fursa ni nyingi sana mtaani!??
Jiongeze mzee uwe hata fundi wa kuunga vyuma inalipa boss !!! Saloon inalipa boss! Huna hata hiace mzeee!??hata kijiwe cha kuziba pancha!?? Mzee utaishije!?? TGTS haitoshi jiongeze mzeee kwan uko wapi!?
 
Kwenye suala la kusimamia mtihani sidhani Kama elimu Ina matter Sana Maana mwalimu haendi kufanya mtihani.

Mm naona hii mbinu ni tamu Sana Maana primary Kuna ujinga mkubwa Sana mafisa elimu wa msingi Wana tabia ya kutisha walimu ili watoe majibu lengo waonekane wanafanya vzr na ikatokea mwalimu kapata janga afisa elimu hahusiki kabisa na matusi atakutuna ,mwalimu wa sekondary kuletwa primary kusimamia ni Jambo zuri na Lina afya kwa ustawi wa elimu yetu .
Pia walimu wa msingi wamechuliwa kwenda kusimamia mitihani ya sekondary japo huko sasa wameweka 50/50 yaan walimu wa sekondary wapo na primary wapo Maana sekondary angalau hakuna ujambaz mkubwa km ule wa primary .

Alafu acha mawazo ya kuwaza eti primary hawafai kusimamia sekondary au wa sekondary kusimamia primary kisa elimu .
Kitu ambacho hukijui primary Kuna degree za kutosha plus diploma za kumwaga Tena sio zile degree za kuunga unga au diploma za adem za Bagamoyo ,Kuna diploma za necta kabisa na hao ndio waliotolewa sekondary na kupelekwa msingi ,pia Kuna masters japo masters sio nyingi km ilivyo kwa degree pure na diploma pure .

Pia Kuna mdau kadai primary Kuna degree na diploma za kuunga unga Sana ,Hilo sipingi kabisa hao ndio wamejaa sana na ndio wanoko balaa wakipewa vitengo na ndio hao waratibu kata wa elimu ,ndio hao ukaguzi ,ndio hao walimu wakuu ni wanoko balaa Maana elimu zao wamezipata kwa shida Sana ,ndio hao hao wameshika kila fursa za tuposho ,ndio hao wajenga na wapika majungu kwa Hilo sikuping Ila lazima utambue kuwa primary zipo degree pure Tena za udsm ,udom,mzumbe na zile za vyuo vingine pia Kuna diploma pure Safi kabisa sio zile za michezo au adem au zile za Uganda.

Hitimisho ni kwamba kusimamia hakuhitaji elimu ndugu Bali umakini tu wa kutekeleza Yale unayopata kwenye semina Maana sio mwalimu anayefanya huo mtihan ,pia punguza Hali ya kuona mwalimu wa sekondary ni super kumzid yule wa primary huo ni ushamba na ulimbukeni ,mwalimu ni mwalimu tu kuanzia chekechea had chuo kikuu ukishaitwa mwalimu wewe ni mwalimu tu na bahat nzur maisha ya walimu yanafanana kwa asilimia kubwa kuanzia kuishi had vipato .
 
Naona umebinywa posho sasa umeamua kulalamika kwa hoja zisizo na mashiko. Kifupi hoja zote ulioandikwa hazina mashiko
 
Acha wadhalilishwe tu hata hawajitambui maana hao ndio washiriki wa hujuma Kwa wananchi wakishirikiana na CCM kwenye uchafuzi unaoitwa uchaguzi Kwa kufanya mbinu haramu za kukwiba kura wakishirikiana na Policcm!

Walimu mtakapotambua adui yenu ni huyo mnaeshirikiana nae kutuhujumu mtakua mmechelewa Sana!

baada ya kukosa wa kumlaumu, mnatumia chuki kuteka akili za watu kwa kuhisi kwamba watawaona ninyi ndio wakombozi, endeleeni kututukana, tupo na wanenu, tutawaambia tu kuwa serikali ya CCM ilicheza na maslahi yetu, na wapinzani walitutukana namna hii. Wao wataamua, sio sisi.
 
eheee hapo hapo kwenye kuandika kura ndio penye fix ndio ugomvi wangu na waalimu unapoanzia wanatumiwa na CCM kuwaongeza kura ambazo hazipo sababu wao ndio washikilia jiko!

Walimu hawajawahi kuwa, na wala sio mawakala wa chama cha mapinduzi, mapenzi na chama ni ya mtu binafsi, mkihisi kwa kuendelea na huu uongo kutaimarisha siasa za vyama vyenu endelea nao, kama utabadilika na kutuwekea sera hapa, tutafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom