My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,171
Leo bhana nimekaa nasikiliza kipind cha Good Morning cha WASAFI FM mida ya magazeti nasikia eti serikali inawaombea huruma walimu wapate unafuu wa mikopo..kwmb walimu ndo kundi la waajiriwa linaloonekana kuish maisha duni kwasababu ya mikopo ya riba kubwa.
Walimu andamaneni mpane ongezeko la mishahara kuliko kutumika km chaka la wanasiasa
Hii stori imenikumbusha kipindi flan ilikuwa wakitwaja idadi wa watu km kuna maasai miongoni mwao utasikia kulikua na watu nane na maasai mmoja, ndiyo yanayotokea kwa walimu kwasasa linapokuja swala la njaa kwa waajiriwa utasikia tunaomba benk zinapunguzie riba walimu na waajiriwa wengne kwan walimu wanaishi maisha magumu kwasababu ya mikopo.
Walimu andamaneni mpane ongezeko la mishahara kuliko kutumika km chaka la wanasiasa
Hii stori imenikumbusha kipindi flan ilikuwa wakitwaja idadi wa watu km kuna maasai miongoni mwao utasikia kulikua na watu nane na maasai mmoja, ndiyo yanayotokea kwa walimu kwasasa linapokuja swala la njaa kwa waajiriwa utasikia tunaomba benk zinapunguzie riba walimu na waajiriwa wengne kwan walimu wanaishi maisha magumu kwasababu ya mikopo.