ASANTE kutukumbusha japo najua si wengi watakuunga mkono. Watu wamehamasika kushabikia hii adhabu kwa kutazama ubaya wa athari zitokanazo na matumizi ya madawa ya kulevya lakini yapo mengi katika jamii ambayo hata mimi na wewe tumewahi kufanya,aidha kwa siri au hadharani,yenye madhara maradufu...
Kuna Mbongo kaniomba nimsaidie kupost hii maana yeye akaunti inagoma kufunguka kasahau nenosiri....nawaomba chonde usitume PM kwangu kwani haitosaidia wala sitazijibu badala yake wewe tangaza nia hapa kwenye post atakupm yeye mwenyewe akipenda.
NAMNUKUU....
Mimi sifa zangu ni kama ifuatavyo...
mimi huwa nasoma ili kuwachora na kushangaa akili zao zilivyo finyu...........wengine ni watu na heshima zao, kila siku utakuta ana update status ya kinachoendelea rohoni mwake loh! ulimbukeni wa mtandao nadhani, but inakera saaaana kama nawe ni mmoja wa wanaowekwa hadharani e.g. ni spouse...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.