Recent content by stable-negro

  1. stable-negro

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii game graham ameshaijua approach yetu ya kuwatumia saka na martineli kudeliver final deadly passes, naona wakikamata mipira wanakabwa kwelikweli. MA need to change approach or motivate his players to increase pace of the game.
  2. stable-negro

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii ni motivation kwetu. The racing is getting even more interesting now.
  3. stable-negro

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huenda kukawa na matokeo yanayotufavor pale Ethihad Stadium....38mins to play mzani umebalance.
  4. stable-negro

    Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

    Hivi kuna siku tuliwahi kuhisi mabaya na ikawa tofauti?
  5. stable-negro

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    jini katoka ila mganga yu taabani
  6. stable-negro

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    naona jini anakaribia kutoka ila mganga hali yake ni tete [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. stable-negro

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    No team has ever win EPL after losing 5 games of first round. Kwa sasa wandugu wamebakiza 2 na ndo kwanza tuko round ya 11 kati ya 19 za mzunguko wa kwanza.
  8. stable-negro

    Profesa Ruth Meena apingana na Profesa Mkandalla, asema Wanawake siyo Kundi Maalum kwa sababu Wanawake ndio wengi kuliko Wanaume

    mwanamke = ombaomba = kundi maalum hata sasa nchi yetu imeingia 100% kwenye kundi maalumu kwa sababu ya kuwa ombaomba
  9. stable-negro

    World Bank yazitaka nchi mbalimbali Duniani ziige namna Tanzania inavyosimamia Uchumi wake na kudhibiti Mfumuko wa Bei

    In memory of Samora Machel "When you see me praised so much by the whites, know that I've already betrayed you."
  10. stable-negro

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kinachombeba Gabriel ni kuwa the only left footed CD at the moment. MA hana any other option kwenye left side centre back ndo maana bado anaendelea kumpa nafasi.
  11. stable-negro

    Rasmi sasa nimelazimika kutomshabikia tena rais Samia kwa hiki kilichonikuta leo

    Mimi huyu mama sijawahi kumuelewa, naona mambo ya kishenzi yamerudi kama zamani tu. Mfano upande wa ardhi ndo hovyo kabisa mwaka 2021 ilinichukua mwezi 1 tu kuprocess hati kuanzia mwanzo hadi mwisho mkoani Mwanza. Mwaka huu ni mwezi wa kumi file langu halijatoka hata kwenda kwa kamishna wa ardhi...
  12. stable-negro

    Kilio chetu kwa Rais Samia: Tunaomba PayPal iruhusiwe nchini Tanzania

    Kwenye hii PayPal tunaweza kupata kodi na tozo huko? Kama jibu ni hapana sahau hii kitu, Dkt Nchemba anaona bora muendelee kuteseka tu kama hakuna uwezekano wa serikali kutengeneza chanzo chake kipya cha mapato kwenye hiyo tech.
  13. stable-negro

    Mliokutana na mauzauza katika ujenzi wa nyumba, naomba msaada wa hatua mlizochukua

    Ni lazima kuwaachia, kwenye mji wangu ukiingia bila kufuata protocol kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 hakuna rangi utaacha ona. Hata hao walozi watafanya mambo yao nje ya gate la himaya yangu na sio ndani.
  14. stable-negro

    Mliokutana na mauzauza katika ujenzi wa nyumba, naomba msaada wa hatua mlizochukua

    Jenga mji wako, maliza, hamia halafu ukishahamia fuga mbwa. Narudia tena, FUGA MBWA sio kambwa koko...ukiendelea kuona vitimbwi njoo niite **** utanikuta nimekaa pale. Hawa wanahizaya walinisumbua sana hata mimi kipindi niko kwenye ujenzi na punde baada ya kuhamia mara usikie vishindo nje, mara...
  15. stable-negro

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Hii thread nimechelewa sana kuiona, ila naamini tatizo langu litakuwa solved hapa. Mimi nina mbwa wangu jike aina ya German Shepherd long coat, kiukweli growth rate ya huyu mbwa hainifurahishi kabisa toka nimnunue ukilinganisha na wenzangu tulionunua pamoja kwenye uzao huohuo. Pia ulaji wake ni...
Back
Top Bottom