acha kumtukana mtz mwezio. hata wewe sio mwelevu vilevile kwa sababu umeshindwa kuelewa kwamba mwezio anafuraha iliyopitiliza. furaha iliyopitiliza ni kama kaulevi flani hivi!
mna 'empower' walewale tu! wengine hawahitaji 'power'!
kuna mtu alisema huu ubunge wa kuteuliwa iwekwamba mtu anadumu nao kwa miaka miwili kisha anapewa mwingne! ndio ili uwe ulingo wa mafunzo kwa wengine! na ku empower kwenyewe!
ni ngumu lakini fanya hivi:
nenda chuoni endelea na masomo! lile bumu la kwanza (nadhani ni laki sita na ushee) lipia ada nusu semister wakati huohuo ukiendelea na michakato ya kukata rufaa. ukibahatika mkopo wako unaweza kubahatika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.