Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,467
don't mentionAsante switie
don't mentionAsante switie
Ha ha ha,
Dah kama mimi aisee. Unajua hizi nje cup kama ni wake za watu haitakiwi muwe mnaingia Guest hiyohiyo kila siku. Kila mkikutana mnapanga Guest mpya ili kua salama zaidi, na jina la guest unampa siku hiyohiyo asubuhi. Hapa ndipo tigo walipotuwezea aisee
He he hivi ni kweli usumbufu wa siku nzima mnaongwa dk 10..??tigo wanatutania
Dah roho yangu imetulia nilijua ni Mimi tuu.nikadhan tcra wananiwinda
hawaigi mkuuila wameugua tanescosism gafla. tuwape subira watapona.