Kwanini wanaume hamwathamini wanawake?

Kwanini wanaume hamwathamini wanawake?

Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee

Duuu...UNATAMANI KUA MWANAMKE???
 
Wanawake nao wajifunze wanaume wa kuwapenda..... mwanaume asiyekuthamini anaonekana mapeeeeema
 
Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu.

Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu.

Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo.

Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi.

mi mwenyewe nmeshikwa bana ingawa najitahidi kujinasua lakini waapii!.

Kama kakushika mshike mshikamane mkuu. Mimi wa hivi namhitaji zaidi ya dola
 
Ukiendekeza wanawake/mwanamke unaweza kuwa mwehu.

Wanawake walio wengi ukiwathamini wanakuumiza hisia zako tu.

Kinachotakiwa ni kumuonyesha mwanamke ile sitaki nataka ili ashindwe kuusoma mchezo.

Pia wanawake baadhi wakishikwa vizuri wanakuwa na viburi.

MI MWENYEWE NIMESHIKWA BANA INGAWA NAJITAHIDI KUJINASUA LAKINI WAAPII!.

Mkuu KALINZI NYUMBANI

Yaani ni shiiidah! Hiyo boti unayosafiri
nayo na mimi nimo,

Ngumu kutema ngumu kumeza, sjui wanatuendea kwa waganga? Sjui ujinga tu?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wenyewe hawajidhamini .utasikia mwanamke anamwambia mwanamke usiwe kama mwanamke weeee.mimi siwafichi ningekuwa mwanamke ningefurahi sana .kila kitu bureeee

Hakuna cha bure hii dunia waulize hao hata wanawake
 
Pole sana kwa yaliyokukuta lizybert, hii dunia haiko fair hata kidogo...wewe timiza wajinu wako uende zako!
 
Last edited by a moderator:
Ulishaambuwa mwanamke ni shetani, sasa unataka kuthamin shetani? Lizybert vipi ww?
 
unajua nn some men mwanamke ni kama chombo cha starehe kama ilivyo pombe,gari nzur,nyumba nzur na dem mkali.but wanawajua wake zao vizur sana na hawawez kuwaacha.
xo mtu akipata pesa mara nying hupenda kuspend na madem wakali kama starehe tu.
 
Back
Top Bottom