Recent content by spray

  1. spray

    INAUZWA Kabati la Aluminium linauzwa

    Ndugu yangu anauza kabati la aluminium, alikua anauza nguo Lipo magomeni usalama Bei laki 2 Unaweza kuuzia nguo au stationery au dawa nk nk Ukitaka njoo pm nikupe namba yake
  2. spray

    Samaki aina ya lobsters na crab (live)

    Asante ngoja niwacheck
  3. spray

    Samaki aina ya lobsters na crab (live)

    Habari Kuna mtu humu anadeal na hawa samaki, wakiwa live yaani unauza live live au unajua mtu anayefanya hii biashara.. Tafadhali nipe contacts
  4. spray

    Team kali inahitajika kwa Kampuni ya Media

    Mi niliteseka sana na wafanyakazi ktk project moja hivi, vijana wengi wavivu hatari.. What I did nilichukua foreigner mmoja wa kiasia akawa ndio team leader, wengine wabongo, nakwambia mbona kazi ilienda hahahaha.... Maana before nilikua nikilalamika sana, baada ya kuleta muasia mambo...
  5. spray

    Nahitaji karanga kwa wingi

    Karanga aina gani? Za maganda au zilizobanguliwa tayari? Unanunua kwa bei gani
  6. spray

    Upandishaji wa Nguruwe kwa mirija

    Aina gani unayo, na bei ikoje
  7. spray

    Olimpiki 2020 Japan (2021) tunajifunza nini

    Mimi ni mdau mkubwa wa michezo, napenda sana michezo... Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikitazama na kufatilia sana michezo ya olimpiki, kiukweli sio tu unaenjoy mchezo lakini pia unajifunza vitu vingi sanasana toka pale viwanjani, waandaaji, washiriki, wafanyabiashara, matangazo nk nk... Mara...
  8. spray

    Natafuta dealers wa tiles hapa Tanzania

    Kama unajua mawasiliano yao naomba tafadhali
  9. spray

    Wizi kwenye Mataa ya barabarani

    Huyu kibaka hadi leo hii bado yupo, Mi imenitokea Mara mbili same person
  10. spray

    Kwa hiki kinachoendelea TRA sasa ni kitu cha kuchukua hatua

    Sisi tumeshindwa tumenyoosha mikono juu.
  11. spray

    Shule za Sekondari O-Level za day Ubungo/Kinondoni

    Habari Natafuta shule ya sekondari, ya day, nzuri inayofanya vizuri, iliyoko wilaya ya Ubungo au Kinondoni.. Please naomba kama unajua yoyote orodhesha hapa nione nafanyaje Asantee
Back
Top Bottom