Recent content by spoa

  1. S

    Uwezekano wa kuhama Mfuko wa Hifadhi ya Jamii

    Teh teh sasa unajisfia kuhama mfuko badala uendeleze uanachama wako utaweza kuqualifie huko kuwa pensionable? Maranyingine u vulnerability tunautafuta wenyewe
  2. S

    Naomba ushauri Kozi fupi ya kusoma

    Kasome Tally accounts package + clearing and forwarding management 6 month itakutoa.
  3. S

    Mafao Shirika la Posta Tanzania (TPC)

    Ntafute nkusaidie 0689291812
  4. S

    Hivi kwanini mashirika ya uma yanakuwa hivi

    Washaitwa kazini hao Fanya mambo mengine
  5. S

    LAPF, PSPF, PPF, GEPF, NSSF ipi ni bora katika kuwa mwanachama

    Usidate na majengo angalieni quality ya service kwa wanachama
  6. S

    LAPF, PSPF, PPF, GEPF, NSSF ipi ni bora katika kuwa mwanachama

    Ppf mfuko bora mtu ukichangia miaka 10 umequalify kuwa pensionable ila Nssf mpk 15 years ni sheeda angalieni wakati wa kuchagua mfuko
  7. S

    Jinsi ya kupata Internship, Volunteering, Temporary job or Permanent job

    Nilitima application letter + CV yangu na Testimonial
  8. S

    Nafazi za kazi NMB!

    Pale kama huna mtu ndy basi
  9. S

    Nafasi ya kazi kwa mtu wa accountw and microfinance

    Mzibhazi tupia email yako nkutumie CV zangu juu ya hy post yako
  10. S

    Jinsi ya kupata Internship, Volunteering, Temporary job or Permanent job

    Mimi nina degree ya Sociology nafanya intern Ppf kama customer relation personnel nahitaji kupata new exposure ktk new sehem nyingine ili niongeze ujuzi zaidi nipo Tayari kufanya kazi popote
  11. S

    Assist me finish this dissertation

    Ntafte nkusaidie 0689291812
  12. S

    Tunakoelekea mmmh! (Only DIT, UDSM, IAA and Mzumbe graduates)

    Hamna kitu ww na Udsm yako unayo iita bora umechangia nn nchini? Chuo chenyewe kila prof na Dr anataka kuwa mwanasiasa Duuh tutafika kweli? Udsm imebaki Jina tu nikwamba kilikuwa not now
  13. S

    Business idea

    Upo mkoa gani?
Back
Top Bottom