Natafuta canter nibebee mizigo yangu Arusha mjini, dereva wangu, mafuta yangu kwa wiki nalipa laki mbili kwa mmiliki wa gari kazi ni endelevu.
Mwenyenalo tuwasiliane 0686457546
Marekebisho kidogo Obama (na mkewe pia) na Clinton hawana PHD ila wana J.D ( Juris Doctor) ,ambayo unapata baada ya kutoka law school kwa apa tanzania tungewaita maAdvocate
Serikali ilikua inashikilia asilimia 50 ya BP Tanzania ,BP wakauza biashara kwa Puma energy Tanzania ,kwaiyo saivi wamiliki ni Puma na serikali ..nusu kwa nusu , nadhan walikubaliana serikali itashikilia haki ya kuteua chair wa bodi.
Note hii Puma tz ni subsidiary ya Puma international , kila...
Dah kwel kampuni za kibongo wanaweka effort kidogo sana kwenye marketing.. Angalia kampuni kama coca cola miaka almost 130 bado inadunda sokoni...si kwamba wana product nzuri kuliko wa2 wengine (debatable) ila its a matter of great marketing effort...fanya kazi na multinational company then...
alternative nyingine ni kutumia UC mini browser, ukisearch video ya youtube inakuuliza unataka udownload au kuplay.Download yake iko very fast jana tu nimedownload video law of sucess ambayo ni masaa mawili very easily!
limitation
Kuiplay iyo video unaingia kwenye downloads ndo inaplay...
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu
used lorry
aina:mercedes benz
model:1114
liko katika hali nzuri ,
linafaa kwa biashara ya kusafirisha mizigo mikoani n.k
mawasiliano
0754 311 336
0654 371 337
liko dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.