Recent content by Spartakas

  1. S

    Cabinet approves city status for 2 more towns

    Eldoret imepandwa miti ndio maana hali ya hewa imebadilika. Kwa kifupi Kenya wanapanda miti na wameijenga miji yao kwa mipangilio mambo ya kusingizia mazingira kuwa sababu ni no use. Kisumu inamatch Mwanza kwa aspect zote inaonekana jema zaidi sababu wanapanda miti. Bukoba ile ingekuwa Kenya ni...
  2. S

    Cabinet approves city status for 2 more towns

    Kenya ni wazuri sana katika mazingira wanapanda sana miti. Ukiwa unatokea Tanzania mpaka wa Silari kwa Kenya Isibainia ukianza tu kuingia Kenya mazingira yanabadilika wakati mazingira na geographical position ni ileile, sababu wako makini na mazingira Kuna maeneo mengi sana Tanzania naturally...
  3. S

    Cabinet approves city status for 2 more towns

    If Kisumu was elevated to city status? Mwanza and Arusha deserve too, they equal Kisumu. What I'm suprised is to learn Eldoret and Nakuru are not cities. While Mbeya is one of the city in Tanzania, frankly speaking Eldoret and Nakuru surpass Mbeya city by far not even close
  4. S

    Cabinet approves city status for 2 more towns

    Nairobi has the largest slum in Africa
  5. S

    Cabinet approves city status for 2 more towns

    Kenya na Uganda ziko more populated kwa kufuata uwiano wa watu na ardhi yao kwahiyo zinatakiwa kuwa na cities nyingi pia. Kenya population yake ya watu milioni 40 kwenye ardhi yake ni sawa na Tanzania kuwa na watu milioni 85 kwenye ardhi yetu kufeel the same pressure yao kwa sasa. Eldoret na...
  6. S

    Nawararua rarua

    Please! Nimeitwa nami nikatoa maoni yangu sasa mbona unaniattack? Under what criterion?
  7. S

    Nawararua rarua

    Nipo naangalia kwa makini sana iwapo anajisifia pasipo ulazima na kujikutisha kwa wasifu na kujisifia kusiko kwake. So far yuko kwenye mstari
  8. S

    Diamond awa mtanzania wa kwanza kutembea na mbwa fukwe za mbali

    Huyu mbwa ni aina ya Greyhound walifugwa na kuzalishwa kwa ajili ya mashindano huko ulaya na Marekani ya kaskazini maana ni wembamba na wana miguu mirefu yenye nguvu nafikiri Afrika hatuna, Afrika tuna German Shepherd maarufu kama mbwa wa polisi ambao hata mie nawapenda wako cute na wanafanana...
  9. S

    Diamond awa mtanzania wa kwanza kutembea na mbwa fukwe za mbali

    Wazungu hawana muda wa kushangaa mtu anatembea na mbwa wazungu huvutiwa na akili zaidi ya mtu wakiongea na wewe wakijua uko fit upstairs wanakuheshimu hii ya vitu umevaa nini unaendesha nini au una mbwa unapita naye ni wamarekani weusi ndo utawavutia wazungu hawana huo muda they have seen all...
  10. S

    Wanawake wanataka nini/What do women want?

    Argument yako iko shallow mtu akiwa mfu case study haitumiki? Elimu za chini ya mwembe hizi zinatuletea shida Tanzania. Uwezo wako wa kureason uko finyu rudi darasani ukaelimike upya
  11. S

    Wanawake wanataka nini/What do women want?

    Argument yako iko shallow mtu akiwa mfu case study haitumiki? Elimu za chini ya mwembe hizi zinatuletea shida Tanzania. Uwezo wako wa kureason uko finyu rudi darasani ukaelimike upya
  12. S

    Naacha buku 15 daily nakuta ugali na dagaa

    Kuna mambo matatu hapo kwanza atakuwa anahonga jamaa mwingine, pili anatuma kwao au anajenga kibanda kule Mbagala
  13. S

    Silaha ya Mwanaume kabla hajamfuta Mwanamke!

    Ukumbuke pia huyo huyo unayemsifia ni jasri kwakuwa ana confidence ujue pia ni player na wewe hutakuwa wa kwanza wala wa mwisho kuna mahusiano makubwa ya mwanaume aliye na confidence nyingi kwenye utongozaji kuwa player tofauti na yule aliye na aibu maana yake hana uzoefu na vimwana, kwa maana...
  14. S

    Sasa nimeamini rasmi Tanzania ni nchi ya kihuni

    Chegreyson elewa hoja hapa kuwa na nishani ya juu sio lazima uwe ulikuwa na madaraka ya juu kinachoangaliwa ni mchango wako. Mchango wa Sokoine katika nafasi yake ni mkubwa kuliko michango ya Kikwete, Mkapa na Mwinyi katika nafasi zao ndo maana uliulizwa kuwa je Thabo Mbeki na Jacob Zuma...
  15. S

    Sasa nimeamini rasmi Tanzania ni nchi ya kihuni

    Kumbe na siasani uko? Safi sana
Back
Top Bottom