Umetegeka wapi
Nipo naangalia kwa makini sana iwapo anajisifia pasipo ulazima na kujikutisha kwa wasifu na kujisifia kusiko kwake. So far yuko kwenye mstariNani huyo![]()
Spartakas come zisi wei![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Muache bana,inatosha sasaNipo naangalia kwa makini sana iwapo anajisifia pasipo ulazima na kujikutisha kwa wasifu na kujisifia kusiko kwake. So far yuko kwenye mstari
Nipo naangalia kwa makini sana iwapo anajisifia pasipo ulazima na kujikutisha kwa wasifu na kujisifia kusiko kwake. So far yuko kwenye mstari
Please! Nimeitwa nami nikatoa maoni yangu sasa mbona unaniattack? Under what criterion?Muache bana,inatosha sasa
Ndo unalia sasaPlease! Nimeitwa nami nikatoa maoni yangu sasa mbona unaniattack? Under what criterion?
Nimetokea kuupenda huu wimbo Dina acha tu
heheeh ujumbe wake tu Ngabu alafu umbea kwa mwanamke sunnaBasi nawe utakuwa mmbea wewe😀.
Maana wambea ndo wanaupenda.
We huupendi?Basi nawe utakuwa mmbea wewe😀.
Maana wambea ndo wanaupenda.
Wimbo siupendi japo namtamani mwimbaji😛.
Laki nne tu?ukiwa na kisu kirefu unampata hana shida anataka kuanzia laki 4

Hahahh ndo hivyo nilitumiwa screenshot flan ya group ya whatsapp ya mambo ya mpira ndo walikua wanamuongelea kuna mtu kamgonga kwa laki 4 tena ni super star mwenzie walivyoandika ni aibu jamaa alivyokulaLaki nne tu?
That's chump change to Mr. USA![]()
![]()
![]()
![]()