Silaha ya Mwanaume kabla hajamfuta Mwanamke!

Silaha ya Mwanaume kabla hajamfuta Mwanamke!

Of coz confidence is sexyyy....unakuta jamaa knows what to do na anakukaziaa hadi ukilala u be thinking ehh he got balls huyu huyuuu ndo mwenyewe...

I'ld agree with you that confidence in a man is sexy although he shouldn't go overboard. Kuna wanaume wanajiamini kupitiliza to the extent that he becomes annoying. Ila jambo moja ni kweli, a man has to know & own his words, don't try too much to impress coz some of us are put off my over confidence. Ila how a man behaves on our first meeting is usually a deal maker or breaker,the first 2 minutes are enough to help me determine if he's worth my time or not.
 
ndio wewe sio domo zege but mimi nataka kufuatwa na domo zege!

aaah! Lakin ukitaka niwe domo zege naweza tu..
Hivi hujawahi kuona mwanaume anatetemeka pindi akianza kutongoza?
 
Watoto wale visu ndo wakoje hao?mie hapo sijaelewa
Ngoja nikusaidie;
Demu Kisu;
Ni yule mwanamke,ambae ukimfananisha na Demu wako unahizi kama demu wako ni mwanamme mwenzako na huyu ndie mwenye hadhi ya kuitwa mwanamke-Kifupi mzuri kupitiliza.
 
Yani wenye ukimwi. wanaochinja wanaume. Ni kama ukisikia mwanaume kiwembe ni yule mwenye storongo kali inayochanachana marinda ya vikojoleo na vijambio vya mabinti za watu
What a nasty definition!
 
Of coz confidence is sexyyy....unakuta jamaa knows what to do na anakukaziaa hadi ukilala u be thinking ehh he got balls huyu huyuuu ndo mwenyewe...
balls ndo scrotum ? asa day 1 tu mshafika kwenye balls kulala nn !mmh anyway potezea mamii
 
Of coz confidence is sexyyy....unakuta jamaa knows what to do na anakukaziaa hadi ukilala u be thinking ehh he got balls huyu huyuuu ndo mwenyewe...


Ukumbuke pia huyo huyo unayemsifia ni jasri kwakuwa ana confidence ujue pia ni player na wewe hutakuwa wa kwanza wala wa mwisho kuna mahusiano makubwa ya mwanaume aliye na confidence nyingi kwenye utongozaji kuwa player tofauti na yule aliye na aibu maana yake hana uzoefu na vimwana, kwa maana "action and reaction are equal but different in opposite direction" Newston Third Law of Motion
 
Waweza ukawa unajiamin pia ukala cha mbavuuu...msikaririi! Inategemea na bahati yako siko hiyo
 
Ukumbuke pia huyo huyo unayemsifia ni jasri kwakuwa ana confidence ujue pia ni player na wewe hutakuwa wa kwanza wala wa mwisho kuna mahusiano makubwa ya mwanaume aliye na confidence nyingi kwenye utongozaji kuwa player tofauti na yule aliye na aibu maana yake hana uzoefu na vimwana, kwa maana "action and reaction are equal but different in opposite direction" Newston Third Law of Motion

yahhh painful truth...good boys aint fun at all
 
Back
Top Bottom