Wanawake wanataka nini/What do women want?

Wanawake wanataka nini/What do women want?

Jamani mbona Riz1 ana kifaa kikali alafu kirefu kuliko yeye.
By the way,its love maana hata wasira ana dem mdogo kuliko huyo waif wako.

Urefu wa Riz1 na mkewe wanapitaka kidogo sana kama nchi mbili sio tatizo hapo na Ridhwani ni futi tano kuwa futi nne maana yake ni dwarf kwa mwaume. Judith Lucien Bongo alikuwa futi 5 10" wakati Omar Bongo ni futi 4 11" hii ni tofauti kubwa mno almost futi nzima. Tuachane na kimo tuachane na umri vipi pale mwanamke anamvulia nguo mwanaume ambaye ni mkubwa kwa baba yake miaka 8? Anajisikiaje au mwanaume anapolala na mwanamke mkubwa kwa mama yake miaka 8 anajisikiaje mithili ya yule mwanafunzi aliyeoa mbunge wa miaka 60 sijui hata kama mama yake anamthamini tena maana alikuwa na miaka 24 jambo ambalo linaonyesha mama yake atakuwa mdogo kwa umri kulinganisha na yule mbunge
 
swali lake kalikosea.....
badala ya kutuweka wooooteee kwenye chungu kimoja angeuliza kila mtu anataka nini.....
hata matakwa ya mtu huyo huyo mmoja yanatofautiana kulingana na muda, sehemu, na hali. takwa langu la sasa siyo la kesho wala la mwakani.

Sijakosea swali pamoja na kuwa kila mwanamke ana mambo anayotaka kuna zile sababu kuu kila mwanamke atataka.kuwa nazo pia zipo ndogondogo za kutofautisha huyu na huyu mfano wanaume wanapenda mambo makuu kama Madaraka, utajiri, mke mzuri na familia bora haya mengine sijui gari zuri, kuvaa vyema yule mwanamke ni mjuvi kitandani ni nyongeza za mishahara ndo maana mwanaume ataoa mwanamke aliye wa kawaida kitandani mathalani ni mzuri kuliko yule mjuvi kitandani na ni mbaya
 
Naandika hii hoja nikitafuta majibu yakinifu na ya msingi kutoka kwa wanawake pia wanaume wenye majibu sahihi uzi wangu nimeuliza wanawake wanataka nini?

Maana nimeangalia katika hili nimeshindwa kupata majibu.

Case study yetu ya swali hili itamlenga mke wa pili wa rais wa zamani wa Gabon Judith Lucien Bongo mwanamke huyu alikuwa mtoto wa Rais wa Congo Brazaville Rais Denis Sassou Nguesso akiwa msomi kabobea kwenye taaluma ya udaktari na pia ni mwanamke mzuri kwelikweli aliamua kuolewa na mwanaume anayemzidi takribani miaka 30

Pamoja na kuwa ni mtoto wa Rais Denis Sessou Nguesso kakulia kwenya mali na madaraka pia ana taaluma na ni mzuri anaweza olewa kwa kugombaniwa ukizingatia ni mtoto wa president ambaye hakuwa na ukomo wa kutawala lakini bado aliamua kuolewa na Rais wa nchi jirani ya Gabon akiwa mke wa pili na aliyemuoa akiwa na miaka 8 zaidi ya umri wa baba yake na akimzidi Judith miaka 29 na si kwamba ni handsome bali wa kawaida mwenye kimo cha futi 4 11" hata futi tano hafiki

Kwanini afanye vile? Angekuwa mtoto wa masikini tungeelewa, angekuwa hana taaluma tungeelewa,

angekuwa fukara tungeelewa, baba yake asingekuwa rais tungeelewa yaani kwanini aamue kuolewa na mzee vile kwa sababu tu mmewe ni Rais wakati na baba yake ni rais pia na kakulia ikulu?

Jamani naomba majibu yasiyo na mzaha nijue psychology ya hili swala ni nini haswa jibuni kwa kadri mjuavyo. Ahsanteni


Halafu sio Judith ni Edith na kwa taarifa yako huyo mdada kwa sasa ni marehemu alifariki miezi 3 kabla ya kifo cha rais Bongo
 
Halafu sio Judith ni Edith na kwa taarifa yako huyo mdada kwa sasa ni marehemu alifariki miezi 3 kabla ya kifo cha rais Bongo

Mkuu sijaongea kuwa yu hai au amekufa awe hai yu mfu habari niliyotoa ndio hivyo na jina halisi halibadili topic ningeweza kutumia mbadala pia hapa umekaribishwa kutoa sababu sio kuangalia kuchanganywa majina. Kwa taarifa yako alifariki Barcelona Hospital na mmewe Omar Bongo akasuspend shughuli zake zote za urais kuomboleza kwa sababu alimpenda sana wanadai alipatwa na mstuko maana naye baada ya miezi mitatu tangu kufariki mkewe naye alifariki mwanae wa mke wa kwanza Ali Bongo aliyekuwa waziri wa ulinzi akautwaa urais. Lakini hii si topic hoja ya hapa kwanini alifanya vile wakati ana kila kitu. Ulitakiwa kusahihisha jina na kutoa hoja sio kuwa critic na baseless argument
 
Mkuu nimekusoma, hii inawezekana imesababishwa na golikipa wa Mexio.

BTT, ni vigumu kujenerolaiz na kukonkludi kiujumla kuwa mwanamke anataka nini. Wakati wewe unamshangaa huyo kuna wengi pia wanapigwa na butwaa kuwaona watoto wa kike wa matajiri wakiwa hoi na hawana la kusema kwa vijana wa kimaskini.... haya yanatokea sana. Hii inaweza kunikubalisha na mawazo ya wengi kuwa ukiondoa tamaa ya utajiri na usanii, mapenzi ya kweli hayana formula.

Hilo toto la rais inawezekana likawa limependa kweli kwakuwa mapenzi hayaangalii umri, lakini pia inawezekana lilishapata kila kitu ila kupewa attention na ulinzi, kusindikizwa na ving'ora na hadhi ya umama wa kwanza ni ndoto ambayo asingekuja kuipata kama asingekubali kuolewa na huyo kikongwe....

Mkuu kwenye watoto wa matajiri kupenda mtoto wa masikini haishangazi maana anaweza kafuata handsome lakini si mtoto wa tajiri miaka 30 kafuata masikini wa miaka 59 atakuwa kafuata nini? Sijawahi kuona iwapo wapo naomba mfano
 
Jamani mbona Riz1 ana kifaa kikali alafu kirefu kuliko yeye.
By the way,its love maana hata wasira ana dem mdogo kuliko huyo waif wako.

Wassira inaeleweka ana pesa na madaraka na huyo binti aliye naye yuko likely kuwa fukara na si mtoto wa Mkapa, Mengi, Rostam wala Edward Lowassa isipokuwa ni binti ambaye kaamua kujitoa mhanga kwa ajili ya familia
 
swali lake kalikosea.....
badala ya kutuweka wooooteee kwenye chungu kimoja angeuliza kila mtu anataka nini.....
hata matakwa ya mtu huyo huyo mmoja yanatofautiana kulingana na muda, sehemu, na hali. takwa langu la sasa siyo la kesho wala la mwakani.

Ni kweli kabisa, ninachokipenda mimi au wewe kwa mwanaume ni tofauti kabisa na anachopenda kongosho
 
Ni kweli kabisa, ninachokipenda mimi au wewe kwa mwanaume ni tofauti kabisa na anachopenda kongosho

dada hiyo avatar yako imenifanya nijihisi mnyonge sana usiku wa leo.
je ni pcha 2 au ndivyo ulivyo!
 
Mkuu sijaongea kuwa yu hai au amekufa awe hai yu mfu habari niliyotoa ndio hivyo na jina halisi halibadili topic ningeweza kutumia mbadala pia hapa umekaribishwa kutoa sababu sio kuangalia kuchanganywa majina. Kwa taarifa yako alifariki Barcelona Hospital na mmewe Omar Bongo akasuspend shughuli zake zote za urais kuomboleza kwa sababu alimpenda sana wanadai alipatwa na mstuko maana naye baada ya miezi mitatu tangu kufariki mkewe naye alifariki mwanae wa mke wa kwanza Ali Bongo aliyekuwa waziri wa ulinzi akautwaa urais. Lakini hii si topic hoja ya hapa kwanini alifanya vile wakati ana kila kitu. Ulitakiwa kusahihisha jina na kutoa hoja sio kuwa critic na baseless argument

hoja sina ndio mana sikutoa ila kwanini uanze kutoa mifano ya wafu wakati walio hai wapo?
 
hoja sina ndio mana sikutoa ila kwanini uanze kutoa mifano ya wafu wakati walio hai wapo?

Baseless, useless, outdated, unsubstantiated, offensive and out of touch question if that the case why do we talk about Nyerere or Karume or Isaac Newton or Sokoine or Karl Marx while they are dead? Acha maswali ya kitoto kama huna hoja kaa kimya
 
i4xx60f5.jpg

ni mrembo sio masihara ona chombo hicho sasa cha kikongo...hatoki mtu hapoo!!!!
 
Baseless, useless, outdated, unsubstantiated, offensive and out of touch question if that the case why do we talk about Nyerere or Karume or Isaac Newton or Sokoine or Karl Marx while they are dead? Acha maswali ya kitoto kama huna hoja kaa kimya

Hao wote unaowazungumzia kuna vitu walifanya ndio ivyo vitu tunavizungumzia sasa huyo 'Judith' Bongo wako alifanya nini mpk tuanze kumuongelea au huko kuolewa mke wa pili ndio unaona issue kubwa....si umeshaambiwa aliolewa kwa sababu ya kisiasa na kidiplomasia?....unafananisha namna dunia inavyomwongelea Karl Max, Nyerere, Karume na huyo 'Judith' wako!! unadhani yupo mizani moja na hao watu?......sioni kitu hapa zaidi ya hadithi hadithi tu!!
 
Hao wote unaowazungumzia kuna vitu walifanya ndio ivyo vitu tunavizungumzia sasa huyo 'Judith' Bongo wako alifanya nini mpk tuanze kumuongelea au huko kuolewa mke wa pili ndio unaona issue kubwa....si umeshaambiwa aliolewa kwa sababu ya kisiasa na kidiplomasia?....unafananisha namna dunia inavyomwongelea Karl Max, Nyerere, Karume na huyo 'Judith' wako!! unadhani yupo mizani moja na hao watu?......sioni kitu hapa zaidi ya hadithi hadithi tu!!



Hili ni jukwaa la mahusiano na mapenzi na aliyofanya huyu mwanamke yanahusika katika saikolojia ya mahusiano na mapenzi JF haiongelei siasa tu acha argument za kijinga badala ya kutoa hoja kuna thread ngapi humu hazimake sense lakini uko front kuchangia? Sucker
 
Argument yako iko shallow mtu akiwa mfu case study haitumiki? Elimu za chini ya mwembe hizi zinatuletea shida Tanzania. Uwezo wako wa kureason uko finyu rudi darasani ukaelimike upya
 
Back
Top Bottom