Mzee wangu,
Kinachokuondolea heshima hapa Jf sio kwamba husemi ukweli au huoneshi mchango wa dini yako katika kupatikana kwa uhuru.
Ila shida ni kushupalia "udini" kitu ambacho hakifungamani na mshikamano na ujenzi wa taifa hili.kiasi kwamba inakuja to the maximum unataka uonekane kama ni...
Kwa mpaka sasa nishapata muongozo kiasi chake.
Nilitaka nijue ni technic zipi za kumshawishi HR ukiondoka na cheti cha chuo nitakachomuonesha. DR Mambo Jambo
Mkuu cheti nilichokuwa nacho mkononi ni kilikuwa cha form six. Cha chuo sikuwa nacho kwa sababu ya uchumi . Maana chuo nimesoma km 900 toka mkoa naoishi.
So ilikuwa ni kitu kigumu kuandika katika cv yangu kuwa nija degree ilhali kiambatanisho cha hiyo degree( cheti sina mkononi) kwa wakati huo.
Habarini wanajukwaa,
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu kwa elimu ya ngazi ya degree kwa mwaka 2021.
Mwaka 2022 nilibahatika kupata kazi katika kampuni moja ya BINAFSI ambapo nilipita kihalali katika nafasi moja ya kazi ilokuwa inahitaji watu sabini na kitu hivi.
Katika tangazo lao la kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.