Recent content by spacing

  1. spacing

    SOFTWARE Natengeneza website bure kwa wateja 100 wa mwanzo

    hiyo link hainipeleki kwenye kazi uliyowahi kufanya may be hukunielewa
  2. spacing

    SOFTWARE Natengeneza website bure kwa wateja 100 wa mwanzo

    weka link ya moja ya kazi yako tuione otherwise utakuwa learner mzri tu
  3. spacing

    Natafuta ajira ya muda au ya kudumu; Nina degree ya Telecom & Computer Networking

    mh! kama aliye na degree anahangaika hv,wenye dip na cheti sjui hali ikoje.
  4. spacing

    Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

    ila kweli wengi wamefumbwa macho,mtu kajitaftia kick mwenyewe hafu kweli kick imekubali ile mbaya
  5. spacing

    Website ipi ina ubora wa juu kwa vyuo vyetu?

    Wakuu habarin,naomba tuchambue kwa kina hizi website za vyuo vikuu tz,naamini kila chuo kikuu kina site,jaribu kutizama web view,contents,functionality etc. University of Dar es Salaam > UDSM http://www.suanet.ac.tz/ >SUA ://www.udom.ac.tz/ >UDOM Ardhi University >ARDHI MUHIMBILI...
  6. spacing

    Kwanini mayai ya kuku wa kisasa yana Demand kubwa na itaendelea hivyo hivyo

    sometimes knowledge of the customer inaweza kudertimine demand of the product,right kama wangejua kemikali wanaconsume kwenye hiyo products wangethamini sana product substute ya hii bidhaa,ni sawa na kuuziwa mchele wa plastic na mchele huu wa kawaida ukakimbilia wa plastic simply bcoz uko cheap
  7. spacing

    Wandugu nisaidieni jinsi ya kufanya attachment recruitment portal

    samahani mkuu kwahiyo kwenye other attachment hata academic certificates vinawekwa hapo
  8. spacing

    Kuhusu ku-certify vyeti

    mkuu mbona unanichanganya maana mdau wa kwanza kasema unacertify uanza kujaza upya profile,kwenye other attachment si kinakaa cheti cha kuzaliwa na passport,au syo mkuu?
  9. spacing

    Kuhusu ku-certify vyeti

    thanks
  10. spacing

    Hii recruitment portal mbona wanatuchanganya?

    hivi mnacertify vipi wandugu
  11. spacing

    Kuhusu ku-certify vyeti

    Mwenye maelezo ya kina anipe kuhusu hili jambo kwenye recruitment portal,pia ukisha certify unaataatach sehemu gani.thanks
  12. spacing

    Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

    kuna dada anajiita usalama wa taifa kanipiga mkwanja bana sjui nilimwamini vipi tu,et anifanyie connection ya kpata kazi tiss
  13. spacing

    Ajira mlizoahidi bado mnachenjua??

    Kwakweli kairuki unaboa sana kila siku umekalia kuahidi tu pamoja na mkuu wako wa kazi,naomba nijue hivi hizo ajira mnazifanyia feasibility study au mnachenjua kama makinikia.
Back
Top Bottom