Habari za mihangaiko ndugu zanguni!, kuna kitu naomba msaada unajua kuna vacancy zilitoka tarehe 24 zinahitaj vyeti lakini hawajaongelea kuhusu kuhusu kuvicertify kwahiyo nilituma maombi kwa kufanya attachement upya ya vyeti ambavyo havijacertified.Sasa tatizo langu ni kwamba vile vyeti vilivyocertified mara kwanza nilividelete nikafanya attachment upya,wasiwasi wangu upo kwenye application iliopita nilitumia certified kama ilivyohitajika na jana nimeifuta nikaweka ambavyo havijacertified.Je! Hii ya kuweka vipya haitaathili maombi yangu yaliopita? Au database inasave application pale unapoomba?
msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app