Recent content by spacecraft

  1. spacecraft

    Nimekutana na yenye harufu kama Apple punch

    Unaniboa sana huu ugonjwa, mpaka kende ka zinakosa afya, mi nikibadil mazingira tu tatizo
  2. spacecraft

    Nampenda saaana nashindwa kuelewa nini shida?

    Uzi mvunjiko,mi sipati correlation kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. spacecraft

    Tundu Lissu kuunguruma Washington D.C February 9

    La maana ni FARAGHA ya ushoga tu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. spacecraft

    Tundu Lissu kuunguruma Washington D.C February 9

    After all mpaka sasa hakuna physical evidence kuonesha muuaji halisi nani,na anayoyatapakaza yanazidi hata hayo yahusuyo uhai na yanaweza poteza pia uhai zaidi. Tunamuelewa sana uhai una thamani isiyolinganishwa, ila haifanyi ushindwe kukili na yaonekanayo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. spacecraft

    Tundu Lissu kuunguruma Washington D.C February 9

    Lisu ana point gani muhimu sasa,ana tapatapa tu hataki hata kuona mazuri yaliyofanyika anakandia tu,ametapa tapa sana kwenye hard talk Sent using Jamii Forums mobile app
  6. spacecraft

    Tundu Lissu kuunguruma Washington D.C February 9

    Ukisha tetea ushoga hao mbwa wanakupa sifa kemkem,hovyo sanaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. spacecraft

    Kijana wangu mpendwa kapata Division 0(Point 35) anasema kafaulu! Nimepanga nimfanyie sherehe!

    Najua mwanao anaitwa MATOPE HAMNAZO MATOPE Sent using Jamii Forums mobile app
  8. spacecraft

    Sakata la kuwaondoa walowezi walio ingia nchini kabla ya uhuru ni muhimu sana.

    Kwa aliyezaliwa Tanzania huyo si tayari raia by birth au wanawafukuza kina nani maana asilimia kubwa ya wazazi wao hawapo dunian Sent using Jamii Forums mobile app
  9. spacecraft

    Wanachuo wa UDOM washutumiwa kwa kuwafanyia mauza uza madereva bodaboda

    Hahaha dah nahisi ka movie hivi,kwa hio inamaanisha asilimia kubwa ni wachawii,hahaah Sent using Jamii Forums mobile app
  10. spacecraft

    Waliosoma fani za kilimo na mifugo na Jinsi walivyotumia elimu zao mpaka sasa kujikomboa binafsi na kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na mifugo

    Safi sana mkuu umedhubutu inabidi kupata experience kutoka kwako binafsi Niko animal science pia Sent using Jamii Forums mobile app
  11. spacecraft

    Waliosoma fani za kilimo na mifugo na Jinsi walivyotumia elimu zao mpaka sasa kujikomboa binafsi na kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na mifugo

    Nakubaliana na wewe mkuu,maana kuna demostration plot ya zabibu hapa SUA sidhani kama mhitimu wa kawaida bila uwezeshwaji anaweza kumudu kufanya baada ya kuhitimu,it looks expensive..elimu zetu zinabaki kwenye maandishi ,,so sad Sent using Jamii Forums mobile app
  12. spacecraft

    Waliosoma fani za kilimo na mifugo na Jinsi walivyotumia elimu zao mpaka sasa kujikomboa binafsi na kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo na mifugo

    Hizi elimu kama tunabeti tu mkuu,si ndo hivyo? Hata lengo la kutufanya tulime kwa teknolojia zaidi ya wakulima was kawaida halipo?? Kweli tunapaswa jipanga sanaa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom