Kuna watu wanauawa bila Hatia kwa tuhuma za wizi, watanzania tuache kukurupuka
Shamma ww pia uache ujinga inakumbuka posti yako hii ww ulitoa taarifa polisi?
Fungua hiyo link shuubaaaamit!!¡!!!!!!!!!
Kuna watu wapatao wanne ambao inasemekana ni askari wa jwtz wanawapiga vijana 2 ambao inasemekana ni vibaka ambao walimwibia askari.
Vijana hawa wanapigwa na kufanyishwa mazoezi ya kuruka kichura, huku wakimwagiwa maji kiasi uhai wao upo hatarini.
Zoezi hilo linaendelea muda huu maeneo ya...
Mipango Ya hela huwa mingi na Yote inakuwa imetick lkn pombe zikiisha dili zote zinakuwa madiriaha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu hawa jamaa wanatafuta mawazo ya watu wayafanyie kazi kwasababu wanapesa lkn hawajui wafanyie nini.
Hakuna fursa bila mtaji!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.