Mgoroko
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 769
- 442
No passion to make sex, she is has many excuses
Rafiki yangu huyu ameniomba ushauri wa kindoa nami nikaona hapa JF kuna wake kwa waume wenye uzoefu na maturity yakumsaidia mawazo ushuri, vifungu vya bible etc. Ndoa hii ina miaka 4 watoto 2, wa mwisho ana mwaka mmoja na couples wote ni wafanyakazi jijin Dar ambao wana sign out kazini saa 11 jioni....
Hili ni tatizo linalo wapata sana wanaume siku hizi,na hili tatizo linaitwa early marrages,unapo oa mwanamke ambaye umekuzidi kipato na weight lazima akumbane na matatizo hayo maama mwanamke anakuwa anamchukulia kama mwanaume bado hajakua, and thers why mwanamke hadi anamuuliza maswali kama kwanini huwazi kutafuta pesa wewe unawaza sex.
Ndio maana inashuriwa uoe mwanamke ambaye umemzidi umri atleast five to 8 years na elimu uwe umemzidi hapo ndio uta enjoy ndoa yako,cha kumshauri ndugu yangu ni kuwa kazana upandishe kipato chako kwanza kiwe juu zaidi ya yake na be a dictator husband, swala la tendo la ndoa ni haki yako kwahiyo dont berg for it.
Mueleze kama hawezi kukupa unyumba ni bora aludi kwao maana aliolewa ili aprovide unyumba kwako any tym u need na ndio maana likaitwa tendi la ndoa,la mwisho ni kuwa lazima utambue ndoa ni taasisi na mume ndio mkurugenzi hence kuirekebisha ni wewe nyewe be a MAN and correct her, use every means ikiwezekana hata dictatorship ili ajue wewe ndio kichwa cha familia no matter how much she earn.