Recent content by Soulja boy

  1. S

    Hakuna mwanaume mwenye stress kama aliepata ajali ya kondomu kupasuka 😂

    Stress zake sio mchezo..tunaogopwa kuzikwa kama Othman..
  2. S

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Kabisa yan fuvu kuwa kama Unga.
  3. S

    Uliwahi kufanya kazi gani ngumu mpaka ukasema Bora nife njaa

    Ukupoteza mkuu amin itakuja kulipa.degree gan umesom?
  4. S

    Safari ya kujitafuta 2025 inaanzia hapa! Hisa 129,700 za CRDB, NICOL 3864, UTT 400k safari inaendelea

    Hisa ni nzuri ila uwe kwanza na maarifa me nilinunua NMB mwaka jana 5900 nimeuza 14170 nimechukua hela ya idd nimwagilie moyo😀. Ila bank sector inafanya vzr sana Tz
  5. S

    Mke amfungia Mume ndani amnyima Matibabu

    Hayo mamb hayana formular.
  6. S

    Mke amfungia Mume ndani amnyima Matibabu

    Hayo mamb hayana formular.
  7. S

    Uliwahi kupitia manyanyaso gani ulipoajiriwa private ?

    Kwann na ni hospital kubwa tunaitegemea tabora
  8. S

    Aviator addiction; something I don't wish even to my worst enemy

    Aisee wameuza kila kitu na unakuta wamechukua na mikopo yote aviator kabeba lazma udate.
Back
Top Bottom