Recent content by Soulja boy

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mimi nikajua waarabu wanalindwa bure na mshikaji wao USA kumbe wanalipia bwana

    USA mzee wa kimaslai.
  2. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA:- Buluba James amepatikana akiwa amekufa baada ya kupotezwa/ kutekwa mwezi wa sita

    Sio kweli Yan mtu auliwe Moro asafirishwe Hadi Dodoma.?Kwan Moro amna vichaka.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi/Fursa ya Kipato Songea, Mkoa wa Ruvuma

    Mungu akupe hitaji lako.
  4. S

    JamiiForums Tanzania KERO Mwalimu wa Sanaa, nafanya kazi Miaka 4 sasa Ilala bila Malipo

    Miaka 4 kujitolea tafuta sehemu kazi nyingine kwanza unaishije?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Itakimbia soon atamkuta Tembo.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mwili wakutwa ukining'inia kwenye mti eneo la Makangarawe Yombo Dovya, Dar es Salaam

    Kabisa na Tena wanaume atuwez ongea magumu yetu tunakufa nayo.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Ona wasifu wangu, natafuta kazi/internships kwenye NGOs, CBOs N. K

    Utapata mkuu endelea kutuma CV sehemu mbali mbali.
Back
Top Bottom