Recent content by Soulja boy

  1. S

    JamiiForums Tanzania Connection ya kazi za monitoring and evaluation kwenye NG'os

    Mungu akusaidie upate umejaribu Taesa ili upate sehemu ya internship.
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu wameshindikana maajabu hayawezi kuisha

    Duh we ni gaid mkuu
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kyela: Kuporomoka kwa bei ya Kokoa kutoka elfu 25 hadi elfu 5 kumesabanishwa na nini?

    Sana ni ya kubahatisha tu ukija kwa tumbaku bei imeshuka then mbembejeo zimepanda.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kima Cha chini cha mshahara kwa watumishi wa serikali kinapaswa angalau kuanzia million Moja

    Kabisa hapo ni ngumu kutumia salary mwenyewe
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 ya kiroho kwenye ulimwengu wa giza

    Hiyo namba 6 mkuu tunafanyeje kujitoa.?
  6. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wauguzi wenye Shahada Tanzania tunafanya kazi ngumu zisizoendana na malipo yetu. Inakatisha tamaa sana

    Serikali inabidi iwangalie kwa ukaribu mnafanya kaz kubwa sana.. Mshahara wa Nurse Vs Pharmacist ujasema ili tuone huo utofauti..
  7. S

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa Kampuni ya Lake Lubes ya Kigamboni, Vijibweni tunalipwa chini ya kiwango

    Aisee hiy Aisee hiyo laki 230k na NSSF wanakata?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Nakuelewa vzr mkuu,kwa wanao fanya na tuliopitia kaz za private me nakumbuka nilikaa miez 3 bila mshahara na mshahara n kama wako 250k.. Alafu Bado home unabidi uwasupport kwa hiyo hiyo 250k.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Linda Pesa Zako: Jifunze Kusema HAPANA

    Ni ukweli mtupu
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ila wanaume bana tunapitiaga ukakasi mkubwa hadi mafanikio alafu tunakuja kuliwa pesa kizembe na hawa wadada

    Ukisikia kuchunwa ndo huyo muha sasa si Bora angeenda kununua wanawake weupe.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Mange mhuni wako huku muanze kupigana uku mnatoka nje..😃😃
Back
Top Bottom