Waliusika kwenye kurusha bomu siku ya uzinduz wa kanisa katoliki la olasiti pia alikuja msaidiz wa papa kufungua kanisa ilo.
Siwez sahau siku hiyo me nafika na bomu linalipuka.
Kabisa wale jamaa wamemkamata maza mmoja ni supplier wa Gomba chuga na ni hawara wa kiongoz mstafu wa CCM.
Mama aliwapa bunda la kutosha walikataa na wakaleta na zao wakamwambia tukuongezee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.