Samahani mkuu, nimevutiwa sana na hii biashara hivyo nikavutiwa kuuliza baadhi ya maswali.
1. Tin na leseni lazima viwe vya biashara ya gas au biashara yeyote tu uliyonayo mtu?.
2. Kwa sasa ni muda toka Uzi huu uwe posted na nimeona siku hz kuna gas zingine kama lake, vp mzunguko wake mtaani...
Habari zenu wadau?,
Ninaomba uzoefu wa Noah field tourer, uzuri na ubaya wake ikiwa nahitaji kuinunua kwa matumizi binafsi.
Ahsanteni sana na nategemea mengi toka kwenu
Habari zenu members wa jukwaa hili?,
Naomba kupata ufahamu kidogo kuhusiana na mambo kadhaa kwenye bodi hii ya wataalamu wa ugavi na manunuzi (PSPTB)
1. Mtu anaweza kujiunga na kufanya mitihani ya board akiwa angali mwanafunzi wa level fulani mf Diploma au degree ya ugavi na manunuzi ktk chuo...
WASABATO NI KINA NANI?
Nimeona vyema leo tuchambue kwa ndani juu ya watu wanaoitwa wasabato.
Wasabato ni watu ambao wanaheshimu na kuadhimisha siku ya sabato, jina lao linatokana na msisitozo wanaouweka kwenye kuiheshimu siku ya sabato. Pengine utauliza siku ya sabato ndo siku gani? Mbona...
Unafiki hauwezi kuisha,
Ila ukiangalia kwa jicho la mbali 1. hawa wanohamia CCM ikipoteza tena mwelekeo watahtaji kurudi tena upinzani?
2. Hv mtu hauwezi kutoa ushirikiano kwa kiongozi Mkuu ukiwa ktk chama chako ilihali hauvunji sheria za nchi?
Vitabu madhubuti na makini sana kwa ajili ya matengenezo ya afya yako, afya mkeo na afya ya Mtoto tangu akiwa tumbon mpaka anazaliwa, kwa bei nzuri.
Tupo dar Es salaam, Dodoma, mwanza, Arusha na moshi.
Call 0752773756/0716733927
Ninakushukuru sana kwa elimu hii ambayo imenipanua uelewa zaidi kutoka pale mahala nilipokuwa hadi mahala fulani hiv pazuri zaidi.
Barikiwa pia na Allah
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.