Royal Warrior
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 1,166
- 2,144
naomba kufahamu jinsi ya kuuliza salio kwenye boom pack
Vp nikihitaji kuangalia Salio la vifurushi cha data cha chuo kwa ttclHabari zenu ndugu Watanzania...ninapenda kuwatangazia mabadiliko katika menu ya kifurushi cha chuo yaani Boom pack (TTCL).
Awali huduma hii ilikua inapatikana *148*30# kisha unachagua 9.Boom pack lakini sasa utaipata *148*30*35# ili kuepusha usumbufu au wingi wa hatua za kuunga kifurushi.
Endelea kufurahia mtandao wenye kasi zaidi Tanzania.
Rudi nyumbani kumenoga
saa zingine muwe mnaacha dharau kwa wenye kasi zaoEndelea kufurahia mtandao wenye kasi zaidi Tanzania.
Duuh,na imekua kweli but sema naona siku hiz ttcl iko vizur sanaVoda ndio mpango mzima hawa ttcl wateja wao watakuwa wafanyakazi wa serikali tena kama wakilazimishwa na jiwe,
Ahaaa!!
Utumie Roaming ya Tigo ila kama nao wanazingua ndiyo imekula kwako
Wewe select tu Roaming-ON- itakupeleka yenyeweNawekaje roaming ya tiGO nielekeze
Asante na mimi nimefaidikaWewe select tu Roaming-ON- itakupeleka yenyewe