#kwa jinsi nilivyo,naona kabisa ulikua huna kazi za kufanya,,hizo zote pumba tupu[emoji41] unatoa wapi muda wa kumbe mbeleza mtu 3 to 5times angali dalili hazipo????
Habari wakuu!
Mimi ni kijana jinsia (me)
Wasifu: Fresh graduate nina shahada ya Teknolojia Habari na Mawasiliano (ICT) kwa sasa nipo Dar naendesha biashara yangu, experience yangu kwenye biashara huu ni mwaka wa tatu(mwaka wa kwanza nilianza na genge nikiwa bado nipo chuo, mwaka ulofata...
mkuu kwanza hongera sana kwa mpambano!
#pili nikushauri yafuatayo
mosi kaa chini jitathmini wewe kama wewe wapi unakosea, zungumza na majiran na wateja wako hapo ulipo juu ya huduma unayotoa, angalia eneo unapofanyia hiyo biashara,tizama mienendo yako mwenyewe means kauli zako kwa wateja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.