Recent content by sondewanjara

  1. S

    MUHIMU: Tuma maoni yako ya Rasimu ya Katiba Mpya, Mabaraza ya CHADEMA

    Neno pasipo kuathiri sheria nyingine kama linavyotumika kwenye rasimu liondolewe kabisa kwenye katiba mpya ijayo na neno sheria zingine zitakazotungwa na bunge liondolewe kabisa,na katiba mpya ijayo ibahnishe wazi kuhusu nani awe boss
  2. S

    CHADEMA wamepewa mabilioni kuchafua zoezi la Katiba mpya - Nape

    nadhani nape anatakiwa kwenda naye nje ya nchi ili naye akapewe matrioni ya kuja kuboresha mchakato wa katiba na siyo kulalamika,atuache watanzania hatutaki uccm wake ebo.
  3. S

    Yaliyojiri: Kongamano la amani ya Tanzania - Julai 28, 2013

    subiri kidogo utapata picha
  4. S

    Mh Mwigulu adhalilisha walimu wa UDSM

    achaneni na huyo jamaa mi namjua siyo prof wala nini anasomba maji kwa mkokoteni hapa kijijini kwetu kagu.
  5. S

    TAARIFA: Maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA - Rasimu ya Katiba, Hali ya Siasa, Uchaguzi

    CHADEMA mko sawa keep it up, CCM ni wepesi hawana chochote hapo mtadhibiti .
  6. S

    Siasa za fitina na uongo wa kusingiziana zinaendelea

    kwani kotena zilizosemekana kuwapo bandarini zikiwa na nembo ya M4C, Ambazo hazijaagizwa na cdm siyo siasa chafu? zungumzia na hilo basi!
  7. S

    SMART Partnership Dialogue in Dar es Salaam - Tanzania

    telemedicine wapi! we acha tu ccm yenu itumalize ani watu wanjadili kuondosha madini yetu we unadanganyika telemedicine,tulia!
  8. S

    Spika Makinda alia na Waandishi wa habari!!

    Msisumbue vichwa anna anapendelea kabisa namjua.
  9. S

    Mauaji ya Padri,mlipuko wa bomu Kanisani FBI waitwa! Bomu Soweto CHADEMA watoe Ushahidi!

    yana mwisho,lkn kama serikali na ccm wanaamini ni CDM.si wakamatwe?
  10. S

    Images: Pres Barack Obama in Senegal

    kwenye ushoga ndo tugome!
  11. S

    Obama kuwasafisha Lowassa na Rostam!

    Huyo obama hata afanyeje lowasa na rostam hawasafishiki hata wakipelekwa kiwanda cha omo wao ndo wakawa material
  12. S

    Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

    mbona hauoji ccm ambao wapo cku zote madarakani? kuwa mwelewa acha kuangalia tu baba ko ni nani ktk ccm,
Back
Top Bottom