Neno pasipo kuathiri sheria nyingine kama linavyotumika kwenye rasimu liondolewe kabisa kwenye katiba mpya ijayo na neno sheria zingine zitakazotungwa na bunge liondolewe kabisa,na katiba mpya ijayo ibahnishe wazi kuhusu nani awe boss
nadhani nape anatakiwa kwenda naye nje ya nchi ili naye akapewe matrioni ya kuja kuboresha mchakato wa katiba na siyo kulalamika,atuache watanzania hatutaki uccm wake ebo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.