Siku kama 10 zilizopita nilifikia guest flani huo mkoa kuna baridi sana , dada wa guest akahaidi maji ya moto atanipashia kama ndio kigezo kikuu cha kulala hapo basi nikasema sawa .
Siku inayofatia asubuhi niliwahi kuamka kabla yake ikabidi nimfate kumgongea anipatie maji kugusa kitasa mlango...
Mdau yeyote anayeweza kunijulisha hospitali ya allerg kwa dar es salaam ninasumbuliwa na pua kuziba sana niliambiwa ni allerg sijajua ni hospitali gani inachombo cha kupima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.