PROFESSOR JOACHIM
Member
- Oct 11, 2015
- 49
- 35
- Thread starter
- #41
Miaka 10 imetimia....kwasasa inaumwa......"CORRUPT SYSTEM DOES NOT LAST"......HAKUNA KIPOFU ANAYEWEZA KUONE.....HATA NIKIKUAMBIA ONA HAITASAIDIA KITU
NAITWA PROFESSORAlafu unajiita Professor? hii ni shida ya Elimu maana umemalizia na matusi kabla hata haujatukanwa huu ni upungufu wa ufahamu.
Mchambuzi huwezi kuwa na "Bias"
Hapa umeonyesha wazi wewe umetumwa na CCM na uchambuzi wako ni wa kumtuka lowasa akili 0.
hata Dr. Banna pamoja na kwamba yeye ni mwana-CCM hawezi kutoa uchambuzi kama huu hata siku 1.
huu ni zaidi ya Upumbavu na upungufu wa fikra.
Nakutakia siku njema uwe unachambua hata ccm inapoleta watu kutoka Zanzibar kuja kupiga kura za Meya Kinondoni.
Pia ni vema ukachambua kuhusu uchaguzi uliofanyika siku moja na watu wale wale huku bala ccm imeshinda ila zanzibar haukuwa huru.
Tafakali kabla ya kuropoka
MIAKA 10 IMETIMIA??.......KIPOFU HAWEZI KUONA......SITAJISUMBUA KUKUONESHA CHOCHOTE......LAKINI KWASABABU NI KIPOFU KICHAA SITASHANGAA UKADAI UNAONA!!!Chadema imekufa?
KAMA WEWE SI TUSI HUWEZI KUTUKANIKA!!!.....KAMA WEWE NI TUSI, HATA USIPOTUKANWA UTAONA UMETUKANWA!!Mkuu,hebu acha utani..sijawahi kuona prof anatumia lugha chafu na maneno ya kishenzi..wewe sio prof
MPUMBAVU SIKU ZOTE YUKO SAHIHI. UKO SAHIHI!!Hujui kujieleza,hauko fasaha,huna uwezo kuwakilisha unachokiamini,hiyo Jehanamu inakusubiri wewe kwani hâta kwa Mungu hutaweza kujieleza.Akili fupi
GIZA KUBWA HALIWEZI KUISHINDA NURU NDOGO......NAAM SISHANGAI KWANINI KIPOFU HAWEZI KUCHORA!!![/QUOTe
Tokaaaa "leprofeseri"
NAJUA BANGI ZA MISUZI UNAZOVUTA ZIMEKUFANYA KUA ..............................JAZA MWENYEWE PUMBAVUUU!!!Ndio tatizo LA kutokumpangia idadi ya kilevi mtu kunywa mwishowe pombe ndio inaongea
aChadema imekufa?
Miaka 10 imepita?Chadema imekufa?