Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nipo single natafuta mwanamke wa kuzaa naye mtoto mmoja. Umri usizidi miaka 25. Kama upo tayari njoo PM fasta sana.
So unaweza kusimama mbele ya wanaume ukasema mwaka huu tumepata maendeleo kwa kupata baiskeli.? hebu tuache upumbavu bhana hizi rushwa na maslahi binafsi zisituharibie taifa. Ndo maana wahuni wanakamata madaraka na wanachuma mali zoote sie tunaishia kukenua tu eti anapokea simu !! so what a...
Voda ni majambazi hujawaiona,nipo kwenye mchakato wa kuphase out line zao. Taratiiibu naitoa kwa wateja na kwenye taarifa zangu muhimu. Kisha nitaiacha hewani kwa muda flani bila kuweka hata cent kisha natupa kule takataka yao.
jana nimeona moja kama hiyo ila yeye juu ndo alikuwa wazi,yaani kapiga bonge la kata k,jeans limetaiti alafu wahuni wakimpigia makelele ndo kwanza anazungusha kiuno. Wanawake..? kweli wakiwezeshwa wanaweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.