Ridhiwani Kikwete na speed ya maendeleo Chalinze

Ridhiwani Kikwete na speed ya maendeleo Chalinze

Cpendi ccm
Bt km kweli anafanya hayo anaatahili pongezi

Kwasbb tunachotaka ni maendeleo yaonekana
 
Umeme watauweka wapi? nyumba zipo chalinze kweli? This is another way of corruption!
 
Mi sina mbunge, mbunge niliyemchagua kula hazikutosha. 2015 lazima achukue!
Kura hazikutosha kwa vile uliyemtegemea wapiga kura walimstukia na hawakumpa kura!
Uchaguzi si suala la mapenzi.
 
Cpendi ccm
Bt km kweli anafanya hayo anaatahili pongezi

Kwa sababu tunachotaka ni maendeleo yaonekana


Ametoa Baiskeli kwa ajili ya:-

(1) Rushwa kwa wajumbe wa CCM ili wampe kura katika kura za maoni ndani ya chama mwakani.

(2) Analipa fadhira kwa kumchagua kuwa Mbunge (Akiwa na matumaini kuwa ni Wana CCm ndio waliomchagua)

(3) Ni njama za ndani ya Chama ili aonekane amefanya mambo mazuri, ingawa bado anahitaji washauri wazuri kwani hilo hatuwezi kuita maendeleo.


KWA KITENDO CHA KUGAWA BAISKELI HATUWEZI KUITA NI MAENDELEO.

SABABU:-


(1) Wananchi hatutegemei baiskeli katika maisha yetu kwani siyo miongoni mwa mahitaji muhimu ya Binadamu.

(2) Hizo baiskeli haziwezi kuleta maendeleo ya mtu au familiya husika.

(3) Hizo baiskeli ni kwa ajli ya kuimarisha chama na siyo kwa ajili ya matumizi binafsi na ndio maana zimetolewa kwa viongozi.

MHESHIMIWA MBUNGE ALITAKIWA KUTAFAKARI:-

(1) Mbinu za kuondoa umaskini kwa wananchi wa jimbo lake.

(2) mbinu za ajira kwa vijana na wana jimbo la Chalinze.

(3) Kuhamasisha uwekezaji katika jimbo lake.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
We mbunge wako kakaa karibu miaka mitano sasa, kakuletea nini?
So unaweza kusimama mbele ya wanaume ukasema mwaka huu tumepata maendeleo kwa kupata baiskeli.? hebu tuache upumbavu bhana hizi rushwa na maslahi binafsi zisituharibie taifa. Ndo maana wahuni wanakamata madaraka na wanachuma mali zoote sie tunaishia kukenua tu eti anapokea simu !! so what a f...k kupokea simu. hata secretary anapokea simu
 
Umeme watauweka wapi? nyumba zipo chalinze kweli? This is another way of corruption!

Chalinze nyumba zao ni hizi:-

Mbavu za mbwa.jpg

View attachment 188292

Je wanaweza kuwasha Umeme katika mazingira haya.

Labda kwa kuwa TANESCO ni mali ya CCM, wakipewa maagizo watatekeleza tu amri ya mabosi wao. Kufunga Umeme kwenye hizi nyumba.

Kwanza anapaswa kuimarisha maisha (Standard of life) ya watu wa ke kabla ya kufikiria kuwarubuni na Umeme pamoja na Baiskeli.

Lakini nawajua kwa kuwa ndugu zangu Wakwere hapo wanashangilia kwa nguvu zote.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Ni kama ndoto wachambuzi wa siasa wanasema huenda ridhione kikwete atafanya makubwa katika jimbo la chalinze kuliko waliomtangulia kwani katika mdaa mfupi ametekeleza mambo mazito makubwa Mengi shule za bordingi zimegawiwa vitanda,

Umeme unasambaa kata zote vijijini na wakazi 700 wa jimbo hilo vijijini kupata umeme kabla ya novemba mwaka huu
Kwa upande wa secta ya afya mashine za kisasa zinagawiwa katika kila hosipitali huku makazi ya waalimu yakiboreshwa huku vijiji vilivyofungwa mdaa mrefu kufunguliwa kwa barabara

Nilipopata kuongea na ------ mmoja maeneo ya msata amekiri kua mbunge kama ridhione hajatokeaga...kila mwezi yupo ziarani tunakutana nae anapokea simu zote kwa kweli tumepata mbunge Mungu ampe maisha marefu

Alisema ole tete kwesu kijana wa kimasai hata kwetu umasaini anakuja mara kwa mara kutatua migogoro yetu na kutusaidia kutafta soko bora la mifugo .....

tunashukuru sana kwa haya maendeleo ya haraka yanayo letwa na Ridhiwani asante lakini tuna swali machahce ya kuuliza
  1. haya maendeleo yanapelekwa huko kijijini na pesa kutoka serikalini na si kutoka mfukoni mwa Ridhiwani.
  2. kama hivyo ni kweli kwanini kipindi cha hapo nyuma serikali ilikuwa haitoi pesa kwa maendeleo la jimbo hilo hadi lilipochukuliwa na mtoto wa raisi?
  3. serikali kumimina pesa katika baadhi ya majimbo na kuyanyima majimbo mengine kisa hayana watu wenye kuweza kufanya robing serikalini ni haki?
  4. Tunaamini Raisi ana watoto wengi sana tunamuomba wote awawezeshe kuwa wabunge wa majimbo mbalimbali ili nasi tupate hayo maendeleo ya kasi kama wenzetu wa huko kwa mheshimiwa Ridhiwani
ni hayo yu
 
So unaweza kusimama mbele ya wanaume ukasema mwaka huu tumepata maendeleo kwa kupata baiskeli.? hebu tuache upumbavu bhana hizi rushwa na maslahi binafsi zisituharibie taifa. Ndo maana wahuni wanakamata madaraka na wanachuma mali zoote sie tunaishia kukenua tu eti anapokea simu !! so what a f...k kupokea simu. hata secretary anapokea simu
Acha mapovu mkuu.
Pengine ungekuwa na akili ungejibu swali, lakini inawezekana wala hulielewi!
 
Rushwa! Rushwa! Rushwa! Rushwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
:when power and influence are bought, trust and legitimacy are sold:
 
Huko ndiko kuwekeza kwenye mioyo ya watu. 2015 hatapata shida katika uchaguzi. kwani wananchi wameona matendo na sio maneno
Ni kama ndoto wachambuzi wa siasa wanasema huenda ridhione kikwete atafanya makubwa katika jimbo la chalinze kuliko waliomtangulia kwani katika mdaa mfupi ametekeleza mambo mazito makubwa Mengi shule za bordingi zimegawiwa vitanda,

Umeme unasambaa kata zote vijijini na wakazi 700 wa jimbo hilo vijijini kupata umeme kabla ya novemba mwaka huu
Kwa upande wa secta ya afya mashine za kisasa zinagawiwa katika kila hosipitali huku makazi ya waalimu yakiboreshwa huku vijiji vilivyofungwa mdaa mrefu kufunguliwa kwa barabara

Nilipopata kuongea na ------ mmoja maeneo ya msata amekiri kua mbunge kama ridhione hajatokeaga...kila mwezi yupo ziarani tunakutana nae anapokea simu zote kwa kweli tumepata mbunge Mungu ampe maisha marefu




Alisema ole tete kwesu kijana wa kimasai hata kwetu umasaini anakuja mara kwa mara kutatua migogoro yetu na kutusaidia kutafta soko bora la mifugo .....
 
kwanin asiwaletee miradi ya kuwapatia ajira/?? baiskeli 200 zitasaidia nini?
 
Sitta: Standard and Speed! Ridhiwani: Speed ya maendeleo Chalinze! CCM bhanaaaa!!!!!
 
Back
Top Bottom