Km Israeli wataambiwa na mungu waje waichukue Tanzania hatutakubali kamwe!Lakini Israeli akitumwa na Mungu JEHOVAH kuja kuimiliki Tanzania tutashindwa kuzuia,kumbuka "Mungu akisema ndiyo,hakuna mwanadamu awezaye kumpinga"
Mungu asaidie aje huyo muwekazaji mwingine,maana hawa UDART wameshindwa kabisa kabisa,wanatujaza vituoni muda mwingi mabasi hakuna,na yakija mfano pale grezani yanaishia kupaki tu pembeni bila kuwatangazia wateja nini kinaendelea,au linakuja kituoni na bila kusimama likiwaacha abiria midomo...
Yaani nikisikia tu mwandishi wa habari anamhoji huyu Bana kuhusu uchambuzi fulani!nahama kabisa hiyo station ya radio,yaani hawezi kabisa kuficha hisia zake kwa kupendelea upande fulani
Ushauri wa kwanza mumuombee ili hilo pepo limtoke,la pil jarbu kumuwekea mtego siku anatoka zake kunywa mvizie njiani kisha jifanye km jambazi kwa kumshitua ghafla,atatoka mbio mfukuze bila kumkamata aendelee kukimbia mpk pombe zote zitamtoka,harudii tena huyo,ikishindikana hizo mbili njoo useme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.