Recent content by sojobizzy

  1. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    nimeenda erita nimefanya maombi ya verif wamenipa no mf xxxxxxxBV_xxxx pia hvo hvo na death cert vp hz tarakimu nne c ndo zinafaa kukaa mwsho au n mimi nakosea thanks
  2. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

    nimejarbu kumjazia maomb mdogo wang hapa nmekwama kwenye Demographic inf msaada wenu tafadhal wakuu thanks
  3. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Pitia Uzi huu upate gari ya kipato chako

    boss naomba contacts zako nataka tufanye biashara kwadilo
  4. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

    jana nmetoka kununua bat za ALAF n 36k pesa[emoji28][emoji28][emoji119]
  5. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    najua inapopatikana nichek mdau nkupe connection
  6. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Samsung qled smart 4k tv onch 65 curved

    uhakika wa mstar kutoongezeka n asilimia ngap vp kuhusu warant yake
  7. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu Honda click

    shukran mkuu kwa ufafanuz wako[emoji106]
  8. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu Honda click

    Wakuu habar zenu Niende kwenye topic moja kwa moja me n kijana naenza maisha sina elimu sana na vyombo vya usafir ila kuna hz pik pik aina ya honda click nataman kununua kwa ajil ya trip town na mambo mengine. Nimetokea kuzielewa na nazipenda najua kuna wadau weng humu ndan wanazo au...
  9. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Mafuta Mazuri ya kupakaa ya Nywele

    kwel mkuu hlo n la kuzngatia pia n vema kama unajua ukanipa details za mafuta yap n mazur kwa nywele
  10. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Mafuta Mazuri ya kupakaa ya Nywele

    Wakuu habarini Naombeni msaada wa mafuta mazur ya nywele ambayo yatanisaidia kurefusha nywele na kuzfanya ziwe nyeusi na muonekano mzuri wa kuvutia maana wengine tuna nywele za vipili pili Natanguliza shukrani
  11. sojobizzy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    znatafutwa daily mkuu
  12. sojobizzy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    umri:27yrs kaz: muajiriwa dini:mkristo natafuta mwanamke wa ku enjoy nae maisha awe na miaka 18-25 kama upo interested n pm
  13. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    barabara ipi ya kwa mpalange au kwa lulenge
  14. sojobizzy

    JamiiForums Tanzania Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

    yan kama inafika mahal mtu anasema gar ya mil300 n bei rahis he/she naamn ndan kwake ka pack ndinga si chin ya 3 na ndinga zote naamin n above 300mil. Kama mleta thread hauna hata gar moja inayokaribiana na bei hyo utakuwa mchaw
Back
Top Bottom