Ni makosa makubwa sana kumwita mke "mama ngu."
Mke ukimwita mama, hupaswi kulala naye tena. Mama ni mama, na mke ni mke.
Jaribu kugeuza mama yako umwite "mke wangu" uone kitakachotokea.
Usifundishe watu ujinga na udondoa dume wako.
SGR ilifanya tathimini ya nyumba zetu zilizopitiwa na mradi wa SGR, tangu Dec 06 /2017. Tukaambiwa mpaka Januari 2018 tutakuwa tumelipwa na kuondoka. Mwezi Juni mkaja na tathmini ambayo haikuridhisha asilimia kubwa ya watu. Baada ya hapo mmepotea mazima.
Mpaka leo ni mwaka umekwisha, na hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.