Naitumia raundi ya kwanza, raundi ya pili siitumii kwa sababu nahisi kuna mbegu zimebaki na zitatoka taratibu pamoja na majimaji (semen).
Nikiwa kwenye gemu hua kuna ute mlaini unatoka wa kulainisha kigegedo. Hua nahisi ule ute utatoka na mabaki ya mbegu.
Kutokana na hiyo hofu raundi ya pili...
Faida:
1. Utaweza kutunza thamani ya pesa yako, kwa sababu kushuka kwa thamani ya pesa ya kigeni sio sawa na pesa ya Kitanzania.
2. Kuna faida kwenye baadhi ya akaunti za watoto. Faida siyo kubwa sana ni kama 0.5% kwa pesa ya kigeni kwa mwaka.
Hasara
1. Mara nyingi kwenye kutoa pesa cash...
Dakari wangu alinambia nimeze heligo kit wiki mbili halfu 1
Hua madondayananipata kwa nyakati tofauti ila dozi niliyotumia ni Heligo kit (original siyo ile ya kukusanya mabox tofauti ya dawa) kwa wiki 2 na pantoprazole kwa wiki 1 au 2.
Ila hakikisha chakula unachokula ni kizuri, hii ni kama...
Pitia uzi wangu nimeandika kuhusu shule za binafsi! Kwa bahati mbaya dunia haitaki mambo ya A wala maksi bali umahiri na ubunifu!
Wazazi ndio tunakomalia watoto wateseke ili wapate A ili kesho tuililie serikali ajira...
mbwa wazuri kufugwa ni wale wadogo ata kama akikushambulia hawezi kuleta madhara. haya majibwa tunayoweka kwenye nyumba siyo kabisa. nakumbuka Kingunge pia alifariki kwa kushambuliwa na mbwa wake mwenyewe.
Habari wakuu,
Ningependa kujikita moja kwa moja kwenye mada. Hii ni kwa wazazi ambao huwapeleka watoto kwenye shule zinazofanya vizuri sana kwenye matokeo kuwa makini na uamuzi huo. Japo si shule zote ila wengi wao ndio walivyo.
Ni kweli watoto wanaosoma kwenye shule hizo hufanya vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.