Recent content by Sodium 23

  1. Sodium 23

    Kwa wale tuliowahi kusoma Vitabu vya simulizi zamani 90z kurudi nyuma

    2. Lawalawa niliisoma nikiwa darasa la tano mwaka 2004. Sambamba na hicho nimesoma vitabu vya Shigongo ikiwemo rais anampenda mke wangu pamoja na vitabu vingine vingi.
  2. Sodium 23

    Naomba Ushauri Matumizi Mashine Ya Kufulia

    Wakuu nmeona hii washing machine inauzwa 250,000/=. Kama kuna mwenye experience na hizi machine za kichina naomba anipatie.
  3. Sodium 23

    Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

    Mkuu kamera yake iko poa? Vitu vingine inanitosha kabisa, nahutaji tu uhakika wa kamera
  4. Sodium 23

    Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

    Japo uzi wa zamani ila nitajibu kwa mtizamo na hali ya 2024. Kubeba begi kwa sababu imekua ni jambo la lazima kama siyo muhimu. Kuna vitu muhimu ambavyo inabidi kuambatana navyo mara kwa mara kwa mfano mwavuli, simu, wallet, chupa ya maji na vinginevyo. Begi linaweza kuwa kubwa au dogo...
  5. Sodium 23

    smart kitochi

    Yeah, niko comfortable kwenye 9 keys kuliko QWERTY, napenda one hand typing.
  6. Sodium 23

    smart kitochi

    Japo muonekano wake sijaupenda, ntachukua hii niitumie kama main phone. Smartphone zinachosha kuzibeba.
  7. Sodium 23

    Nimeunganisha DStv kwa mara ya kwanza leo

    Mimi pia najua ni maigizo ila napenda sana mieleka, napenda zile style hasa za sarakasi kwenye wrestling. Style kama za Usos, Mysterio, Ricochet, Aleister Black. Inshort napenda wrestling ile yenye techniques na mbinu za kisasa sipendi ile old school ya maguvu, viti na fimbo. Miaka ya nyuma mzee...
  8. Sodium 23

    DSTV nimewaheshimu zaidi baada ya kutumia Azam TV

    Nilishashindwa kuhamia azam kabisa! Nmebaki na dstv nikitaka mechi ya bongo naenda kibanda umiza. Na sasa hivi kuna chanel ya mieleka namba 229 kifurushi cha Access. Radio channels ziko poa sana, yaani maisha ya DSTV raha sana.
  9. Sodium 23

    Je honda wave 110i bei yake ni shilingi ngapi ikiwa used na ikiwa dukani?

    Hizi Honda bei zake ni arround milion 12 hadi ifike Bongo. Ila unakaa nayo hadi unazeeka.
  10. Sodium 23

    Niweke taa za watts ngapi? 3w, 6w au 12w?

    Mwanga wa watt 3 unatosha kabisa sebuleni. Nmejaribu kuweka watt 5 inaniumiza macho nikiamka alfajiri. Nmeamua kubaki na watt 3 kila sehemu hadi nje.
  11. Sodium 23

    Kwani kuna Ulazima wa kufua Shuka ?

    Siku hizi najitahidi kuzingatia usafi wa shuka mara moja kwa wiki. Kuna wakati napitisha wiki 2 bila kubadili. Sema kitandani nalala nikiwa nimeoga na sipaki mafuta kwa hiyo uwezekano wa shuka kuchafuka ni mdogo sana. Pia nalala mwenyewe kwa hiyo shuka inabaki safi.
  12. Sodium 23

    Sababu 5 zinazosababisha uume kuwa mdogo

    Napinga hoja ya kutahiriwa tukiwa wakubwa na punyeto kwa ushahidi ufuatao. Bro wangu alitahiriwa alipokua mdogo hajaanza ata chekechea, alipiga makelele nikaogopa nikakimbia. Kiumri tumetofautiana mwaka na miezi 8. Mimi nilitahiriwa nikiwa darasa la nne mkubwa kabisa nikiwa na miaka 10. Ila...
  13. Sodium 23

    Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

    Naitumia raundi ya kwanza, raundi ya pili siitumii kwa sababu nahisi kuna mbegu zimebaki na zitatoka taratibu pamoja na majimaji (semen). Nikiwa kwenye gemu hua kuna ute mlaini unatoka wa kulainisha kigegedo. Hua nahisi ule ute utatoka na mabaki ya mbegu. Kutokana na hiyo hofu raundi ya pili...
  14. Sodium 23

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Uko kama mimi! Stori ya maisha yangu ni Jack Daniel kama sikosei. Jack Daniel
  15. Sodium 23

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Faida: 1. Utaweza kutunza thamani ya pesa yako, kwa sababu kushuka kwa thamani ya pesa ya kigeni sio sawa na pesa ya Kitanzania. 2. Kuna faida kwenye baadhi ya akaunti za watoto. Faida siyo kubwa sana ni kama 0.5% kwa pesa ya kigeni kwa mwaka. Hasara 1. Mara nyingi kwenye kutoa pesa cash...
Back
Top Bottom