Recent content by Sodium 23

  1. Sodium 23

    Msaada: Jinsi ya kujizuia kumwaga ndani ili kuzuia mimba

    Naitumia raundi ya kwanza, raundi ya pili siitumii kwa sababu nahisi kuna mbegu zimebaki na zitatoka taratibu pamoja na majimaji (semen). Nikiwa kwenye gemu hua kuna ute mlaini unatoka wa kulainisha kigegedo. Hua nahisi ule ute utatoka na mabaki ya mbegu. Kutokana na hiyo hofu raundi ya pili...
  2. Sodium 23

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Uko kama mimi! Stori ya maisha yangu ni Jack Daniel kama sikosei. Jack Daniel
  3. Sodium 23

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Faida: 1. Utaweza kutunza thamani ya pesa yako, kwa sababu kushuka kwa thamani ya pesa ya kigeni sio sawa na pesa ya Kitanzania. 2. Kuna faida kwenye baadhi ya akaunti za watoto. Faida siyo kubwa sana ni kama 0.5% kwa pesa ya kigeni kwa mwaka. Hasara 1. Mara nyingi kwenye kutoa pesa cash...
  4. Sodium 23

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Mkuu akaunti za watoto hua hazina makato ata kama ni fedha za kigeni. Nmewahi kuwa na Junior Jumbo ya US dollars.
  5. Sodium 23

    Hebu tuone kwenye friji lako kuna nini!

    Hii comment hua nikiisoma nacheka sana!
  6. Sodium 23

    Injini ya Toyota Hilux Ina weza kuwa mbadala wa Mitsubishi?

    Mkuu ulifanikiwa kubadili engine? Kama ulifanikiwa uliweka engine gani ya Toyota? Nina kesi kama yako Mitsubishi L200.
  7. Sodium 23

    Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Dakari wangu alinambia nimeze heligo kit wiki mbili halfu 1 Hua madondayananipata kwa nyakati tofauti ila dozi niliyotumia ni Heligo kit (original siyo ile ya kukusanya mabox tofauti ya dawa) kwa wiki 2 na pantoprazole kwa wiki 1 au 2. Ila hakikisha chakula unachokula ni kizuri, hii ni kama...
  8. Sodium 23

    Free to air channels kwa matumizi ya kawaida

    Vipi wakuu bado zinashika?
  9. Sodium 23

    Nimeunganisha DStv kwa mara ya kwanza leo

    Huu ndio ulevi wangu, WWE!
  10. Sodium 23

    Fountain Gate Academy ni mfano wa shule za kuchukuliwa hatua

    Pitia uzi wangu nimeandika kuhusu shule za binafsi! Kwa bahati mbaya dunia haitaki mambo ya A wala maksi bali umahiri na ubunifu! Wazazi ndio tunakomalia watoto wateseke ili wapate A ili kesho tuililie serikali ajira...
  11. Sodium 23

    Kwanini ghafla nimeanza kuupenda mziki wa Congo

    Unyama ni mwingi sana, Fally mtu mbad!
  12. Sodium 23

    Kwanini ghafla nimeanza kuupenda mziki wa Congo

    Tushuke tupande Afsana!
  13. Sodium 23

    Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

    mbwa wazuri kufugwa ni wale wadogo ata kama akikushambulia hawezi kuleta madhara. haya majibwa tunayoweka kwenye nyumba siyo kabisa. nakumbuka Kingunge pia alifariki kwa kushambuliwa na mbwa wake mwenyewe.
  14. Sodium 23

    Wazazi kuweni makini na shule zinazofaulisha sana (Top schools)

    Habari wakuu, Ningependa kujikita moja kwa moja kwenye mada. Hii ni kwa wazazi ambao huwapeleka watoto kwenye shule zinazofanya vizuri sana kwenye matokeo kuwa makini na uamuzi huo. Japo si shule zote ila wengi wao ndio walivyo. Ni kweli watoto wanaosoma kwenye shule hizo hufanya vizuri...
Back
Top Bottom