Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Unafikiri nani analijaza hao malimbukeni na mazuzu? Sisi tuliozaliwa Ocean Road hatujawahi kubebwa na fasheni...kazi kwa wakuja toka Kongwa na Mvomero
Sasa mmezaliwa ocean ndio time imewapita. Sisi wa dot com mtuache. Nyie mmezaliwa enzi zenu mlikua na ipad, mlikua na laptop, mlikua na sehemu za kudaka mtumba ukautupia kwenye kibegi? mlikua na headphone za kuweka kwenye kibegi? mlikua na usb za kuweka kwenye kibegi? Sometimes tunapachika chupa za maji besides vibegi....enzi zenu mambo hayo yalikuwepo? Tunaweka kalamu, notebooks, books, magazines, rough rider packets, chewing gums, handkerchiefs. Pambana na hali yako.
 
Wanasema ni swaga,mi nawashangaa wanaotembea njiani wamevaa headphones zile kubwa masikioni na begi mgongoni kama zile za wacheza mpira wa mamtoni.
Wanaiga sana
Sio kuiga, hizo head phones kubwa zinapiga muziki mtamu sana full mkito, so kama huna ishu za kuongeleshana na watu unavaa hizo unachomeka memory card yako unakula muziki.

So far kuiga jambo zuri sio kosa wala dhambi
 
Kuna mwingine niliona ameweka deki chakavu ya SUMSUNG ili ionekane kama laptop, sasa nikawa naona hiyi laptop kila siku hatoi, kuna siku nilasema ngoja nichungulie, nilichoka!

acha uchawi
 
Japo uzi wa zamani ila nitajibu kwa mtizamo na hali ya 2024.
Kubeba begi kwa sababu imekua ni jambo la lazima kama siyo muhimu.
Kuna vitu muhimu ambavyo inabidi kuambatana navyo mara kwa mara kwa mfano mwavuli, simu, wallet, chupa ya maji na vinginevyo. Begi linaweza kuwa kubwa au dogo kutegemea na vitu unavyobeba.
Kwa maisha ya sasa kutembea na vitu muhimu ni lazima kwa ajili ya usalama pia.
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    36.1 KB · Views: 16
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    27.8 KB · Views: 17
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    56.5 KB · Views: 16
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
Kuna hii ya kuvaa vikaputura juu ya magoti hadi wazee wa mitumbo na vitambi nao wamo.
 
Ushamba ni kuzurura na begi kutwa nzima na ndani hamna kitu, wengi wao hawajui kwa nini wanatembea na Vibegi mgongoni.
Wanabeba mabengi ili kuepuka kuibiwa na vibaka wa Kariakoo, Mfano unaenda kununua nguo au simu kariakoo lazima uwe makini utajikuta huna simu wala wallet au ukitaka kugombania daladala vitu vyako vinakuepo kwenye begi huwezi kuvipoteza tofauti ukiwa navyo mifukoni.
 
Uzi wa 2014, ikumbukwe kwamba zamani watu walikuwa wanapigwa sana laptop kitaa kutokana na aina ya beg zilizokuwa zikitumika (kama hiyo niliyo-attach) hivyo vibaka wakiona bag hiyo tu wanajua ni laptop alafu haikuwa confortable kwenye ubebaji hasa ukiwa kwenye mishe mingi

Mdogo mdogo watu wakaanza kubeba laptop kwenye vibegi vya mgongoni mpaka ikawa mtindo mpaka kwa watu wengine wasiobeba laptop
 

Attachments

  • istockphoto-1067792040-1024x1024.jpg
    istockphoto-1067792040-1024x1024.jpg
    94.7 KB · Views: 20
Katika kitu kilinishinda ni pamoja na hicho na ile kubeba bag alafu umevaa mkanda mmoja mgongoni yaani nakereka balaa
 
Katika kitu kilinishinda ni pamoja na hicho na ile kubeba bag alafu umevaa mkanda mmoja mgongoni yaani nakereka balaa
Ubebaji wa begi, unategemea na shuhuri zako za kila Siku, Kuna watu wanauza bidhaa kubeba mkononi, hawa ngumu kuliepuka begi, kuna mtu akienda ofisini, kuna vitu vidogo vidogo huvibeba na kurudi nyumbani, huyu atahitaji begi.

Ila Ukiwa katika safari za kawaida beg ni mzigo sababu halina kazi.
 
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Haya Mwerevu msisahau na Sabuni ya Kujichukulia Sheria mkononi ndo mnapoanzia Ushoga huku mje kuliwa kiboga
 
Back
Top Bottom