Recent content by Societa Jesuit

  1. S

    Obama Speech On The Middle East Touches On Israel vs Palestine Boundary Issues.

    Wakati Obama anaongea hayo kama mwana diplomasia anashindwa kuzielewa biblical quotations ambazo waisraeli hawalali wakiomba siku moja syria,jordan,sinai peninsula,lebanoni na hata upande kidogo wa misri kurudi mikononi mwao kama taifa lenye mipaka ya Mungu na ukizingatia Obama anaongea maneno...
  2. S

    Enzi ulipokuwa boarding

    mazengo complex....tupo sana tu nakumbuka yote hayo kumi ng'ombe wa shule wakati fulani aliibiwa na wezi wamifugo na tukaamrishwa saa kumi ya usiku tuanze msako cha ajabu wengine walitembea hadi msalato girls na wakaingia hadi mabwenini kutafuta ng'ombe kazi ilikuwa kurudi wakati makundi mengine...
  3. S

    Enzi ulipokuwa boarding

    nimeipata hiyo mzee wa mgl........malangali shule yetu kweli tunaipenda sana.....haka kawimbo kunawakati nilikuwa namung'unya tu na ikitokea watu wanaenda ubeti wa mwingine nasikika peke yangu na sauti yangu haieleweki ni ya ngapi.....na kero zaidi bweni letu la mwaisela kuna mshkaji alikuwa na...
  4. S

    Pata picha mkeo kakuaga kuwa wana kikao kwenye kikundi chao

    NI KWELI FURAHA.......lakini nisichojua jike huyu mwanangu mgongoni anacheza au anapata maumivu kama ni maumivu basi huyu mhemiwa hapa anapata kibao cha uso hata kama alikuwa katibu wa UN.
  5. S

    nimuambie nisimuambie my friend wangu huyu?

    Kuna njia nyingi za kutatua matatizo ila kwngu mimi nakupa hizi tatu.. 1.kukimbia tatizo na linawezekana tu na wengi wamefanikiwa. 2.kupambana na tatuizo na wengi wamefanikiwa pia. 3.kunyamaza kimya ina tatizo litapita lenyewe na mimi huwa naitumia hii maana huwa sipotezi nguvu zangu kwa wingi...
  6. S

    Ndoto za Kuhamia Ughaibuni....Soma hapa.

    Mkataa kwao ni mtumwa mbona china hawaupendi uinchi wa ughaibuni, die at your home.
  7. S

    Kenya: ICC issues summons against Ocampo 6....Updates on the goings-on.

    Whatever the case ,let them go...first to hague as it is now and at the end to hell. Oooooh,God let you hear my voice.
  8. S

    Do we still need united nation to solve our problems?

    For me, we do so longer as we cannot form any new organisation stronger than it as for we africans are failures with our weakest AU. ''BETTER TO HAVE AN OLD ENEMY RATHER THAN A NEW ENEMY.''
  9. S

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    A source?.......seems we are so affected by western sources......jaribu kupenda cha kwako and addition to that many africans have been flowing there and have physical sources by eyewitness.
  10. S

    Ivory Coast: The Fall of the stubborn Laurent Gbagbo.

    Maombi yangu hawa waharifu wa kivta ni kwenda Hague na Mungu anisikie tu.
  11. S

    Wabongo wanahadhirika SA.

    Kama SOCRATES angefufuka leo angezimia kwa hawa great thinkers tulio humu jamiif.
  12. S

    Wabongo wanahadhirika SA.

    Mawazo ya kujitapa je, twaelimisha naona jamani watu sasa ni kejeli tu... am done.
  13. S

    Wabongo wanahadhirika SA.

    Ulichonena kina usahihi.....lakini tujaribu kuangali sana hasa katika kilimo na hata wakati mwingine hata serikali inajichanganya sana pale ambapo inasisitiza kilimo kwanza bila kuwaambia wakulima walime nini,na kwanini walime hicho,wapi walime,kwa kutumia nyenzo zipi,mazao kwa soko lipi, je...
  14. S

    Wabongo wanahadhirika SA.

    Hata mimi ni mjinga tena sana tu....na asiyekubali ujinga hawezi kuwas mwelevu na mimi ninachojiuliza ni kwambaq mkuu ametoa mada lakini anatakiwa atuambie je hayo mazingira aliyoyaona huko ni mara yake ya kwanza? je'alitembelea bandari ya dar es salaam hata mara moja au kule ferry? Kifupi...
  15. S

    Wabongo wanahadhirika SA.

    Hapa ukweli upo wapi kuwaponda watanzania wenzako tena mbaya zaidi amekwenda kutembea tu .......mkuuu samatta piga picha anawashangaa watz walioko SA mbona ashangai omba omba waliozagaa katika nchi yetu na watoto wa mitaani waliokimbia makwao kwa ugumu wa maisha ya kila siku. Je, haoni...
Back
Top Bottom