Wabongo wanahadhirika SA.

Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.
 
juzi juzi nimekwenda south africa mji wa durban kutembaa,basi ikawa nitakwenda kutembea bandarini ili nionyeshwe bandari kubwa africa.

nimewakuta wabongo wengi ajabu halafu wachafu sana wanalala kwenye park karibu bandarini.niliskia wanongeo kiswahili basi nikawakaribia, katika mazungumzo niliwauliza wanafanyaje pale,eti wanangoja kupanda meli waeende zao ulaya.wengine eti wamengoja miaka kumi pale bandarini.wote wale walikuwa watanzania.sijui kama serikali yenu Tanzania inajua kuhusu hawa jamaa zetu,maana ni wengi ajabu.


Kama ningekuwa mimi ni wewe ningewapa moyo na hayo ndiyo maisha
waahangaike wawezavyo maana wengi wamefanikiwa kwa njia hiyohiyo
na ule uchafu uliouona utatoka kama watafanikiwa''it is better to be there
rather than to be here in the dark cave if not the grave''.


Watanzania wapo nchi nyingi hapa duniani kama walivyo wengine wa
dunia ya tatu na tukiwaona huko tuwape moyo na si kuwabeza.
 
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.

Asante sana,kweli wamenishangazaa sana.yaani nimeshindwa mijitu hii haina akili.tangu lini kuandika/kusema ukweli imekua ni udaku.basi tusisema chochote maana kila kinachoandikwa ni udaku.eti mwingine anauliza kama wale jamaa niliwauliza passport zao ili kudhibitisha kama kweli ni wabongo,ujinga mwiigine nakwambia ni wa kuzaliwa.

Kuna wale very open minded ,but few like that snitch Askari Kanzu and abdullahim
got some serious problem.

To abdulahim
it seems the issue of prostitution touched one of you very sensitive nerve.now that you have mentioned you have siblings in kenya it makes me wonder,you are a tanzanian but you have siblings in kenya,how come?do you have siblings in uganda too? if you do, then you have proof my point.you dont need any stats.
 
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.


Hapa ukweli upo wapi kuwaponda watanzania wenzako tena mbaya zaidi amekwenda kutembea tu .......mkuuu samatta piga picha anawashangaa watz
walioko SA mbona ashangai omba omba waliozagaa katika nchi yetu
na watoto wa mitaani waliokimbia makwao kwa ugumu wa maisha ya kila
siku.


Je, haoni mateja na walevi wa pombe ambao ni wachafu kuliko hao aliowaona
SA? na mbaya zaidi hayo madawa wanayauza wazazi wao ambao labda ndiyo
wanaowapa maisha ya kwenda huko kutembea tu wakati anauwezo wa kulea hata
mtoto mmoja yatima.

Au mkuu samatta nawe umepoteza mwelekeo?
 
MITANZANIA ni idiot kabisa...mleta hoja kasema alioyaona ila kwa umbumbu wenu mnaanza kumshambulia kwa vijembe na bezo za kutaka kukataa ukweli....

nani asiejua ukweli wa maisha ya vijana wa kibongo SA? USA na majuu kwote??

yeye kama kawaona wabongo bandarini ni vema na haki mlitaka aseme kawaona na wagambia au wakenya? ndio maana mnadharaulika....

TATIZO LENU MITANZANIA hamtaki kuambiwa ukweli ujingab wenu ndio maana mpo hapo mlipo na kwa ubishi wenu kujifanya mnajua mtabaki hapo hapo na mnajiburuza wenzenu wanapaa....mmeniudhi
 
Hapa ukweli upo wapi kuwaponda watanzania wenzako tena mbaya zaidi amekwenda kutembea tu .......mkuuu samatta piga picha anawashangaa watz
walioko SA mbona ashangai omba omba waliozagaa katika nchi yetu
na watoto wa mitaani waliokimbia makwao kwa ugumu wa maisha ya kila
siku.


Je, haoni mateja na walevi wa pombe ambao ni wachafu kuliko hao aliowaona
SA? na mbaya zaidi hayo madawa wanayauza wazazi wao ambao labda ndiyo
wanaowapa maisha ya kwenda huko kutembea tu wakati anauwezo wa kulea hata
mtoto mmoja yatima.

Au mkuu samatta nawe umepoteza mwelekeo?
wewe kapime akili....
 
Kusema kweli,sikuona mkenya,nimefanya kuwauliza wapi kunapatikana wakenya wakadai wakenya wapo lakini kidogo ngumu kuwapata.wakanionyesha baa ya mkenya moja na kuniambia usiku usiku hivi wakenya wanapatikana pale.

hao wabongo wanadai eti ni mabaharia
Kuna jamaa tunafanya nao biashara ni wa South Africa wanasema they don't trust Kenyans at all kwa hiyo sishangai kusikia kuwa South Africa wakenya wako wachache.
 
MITANZANIA ni idiot kabisa...mleta hoja kasema alioyaona ila kw aumbumbu wenu mnaanza kumshambulia kwa vijembe na bezo za kutaka kukataa ukweli....
nani asiejua ukweli wa maisha ya vijana wa kibongo SA? USA na majuu kwote??

yeye kama kawaona wabongo bandarini ni vema na haki mlitaka aseme kawaona na wagambia au wakenya? ndio maana mnadharaulika....
Wewe ulikuepo? au ndo uzumbukuu uleule wa kuwababaikia wageni.
TATIZO LENU MITANZANIA hamtaki kuambiwa ukweli ujingab wenu ndio maana mpo hapo mlipo na kwa ubishi wenu kujifanya mnajua mtabaki hapo hapo na mnajiburuza wenzenu wanapaa....mmeniudhi
Kapime huenda ngoma ishatinga, ka-zygote kanakua tumboni.
 
Kuna jamaa tunafanya nao biashara ni wa South Africa wanasema they don't trust Kenyans at all kwahiyo sishangai kusikia kuwa South Africa wakenya wako wachache.

i dont know about that,i was in SA for few days.

tena i came to realize few of you think to go to south africa is one hell of a big deal.come on ,its in africa and its not like you crossing the sea or such
 
MITANZANIA ni idiot kabisa...mleta hoja kasema alioyaona ila kw aumbumbu wenu mnaanza kumshambulia kwa vijembe na bezo za kutaka kukataa ukweli....
nani asiejua ukweli wa maisha ya vijana wa kibongo SA? USA na majuu kwote??

yeye kama kawaona wabongo bandarini ni vema na haki mlitaka aseme kawaona na wagambia au wakenya? ndio maana mnadharaulika....

TATIZO LENU MITANZANIA hamtaki kuambiwa ukweli ujingab wenu ndio maana mpo hapo mlipo na kwa ubishi wenu kujifanya mnajua mtabaki hapo hapo na mnajiburuza wenzenu wanapaa....mmeniudhi
Punguza jazba.........nitakuelimisha....
 
Asante sana,kweli wamenishangazaa sana.yaani nimeshindwa mijitu hii haina akili.tangu lini kuandika/kusema ukweli imekua ni udaku.basi tusisema chochote maana kila kinachoandikwa ni udaku.eti mwingine anauliza kama wale jamaa niliwauliza passport zao ili kudhibitisha kama kweli ni wabongo,ujinga mwiigine nakwambia ni wa kuzaliwa.

Kuna wale very open minded ,but few like that snitch Askari Kanzu and abdullahim
got some serious problem.

To abdulahim
it seems the issue of prostitution touched one of you very sensitive nerve.now that you have mentioned you have siblings in kenya it makes me wonder,you are a tanzanian but you have siblings in kenya,how come?do you have siblings in uganda too? if you do, then you have proof my point.you dont need any stats.

Wewe mwenye akili na maarifa kamsaidie Kibaki kutatua tatizo la Kibera, Matare etc. ndio urudi hapa kubinua mdomo kuwa watanzania wanaadhirika SA. Inaonyesha una chuki binafsi na watanzania, ni juu ya nini manze? Are u frustrated na maisha?



Tafuta ishu nyingine ya kutoa frustrations zako, kwa hili umechemsha tena sana.Tatizo la kuzamia duniani Kenya mnaongoza.
 
Kuna jamaa tunafanya nao biashara ni wa South Africa wanasema they don't trust Kenyans at all kwahiyo sishangai kusikia kuwa South Africa wakenya wako wachache.

Ndugu yangu finest, hakuna mtu anatrust waKenya, hata ukienda States leo, uulize kwenye African communities watu gani hawaaminiwi, ni waKenya na wa Nigeria, hata hapa nyumbani sisi wenyewe hatuaminiani.. cha kushangaza ni kuwa bishara zetu zimenawiri sana huko ambako hatuaminiwi, nadhani nyie mnafocus sana na side shows hadi mnapoteza ramani ya target yenyu. Mwanabiashara mkenya ni tofauti sana na mfanyibiashara wa Kibongo, jiulize kwa nini? leo tukianzisha biashara mimi na wewe chances ziko high biashara yangu itanawiri kuliko yako, unless utumie chumaulete.
 
i dont know about that,i was in SA for few days.

tena i came to realize few of you think to go to south africa is one hell of a big deal.come on ,its in africa and its not like you crossing the sea or such

Duh........ keep on exposing your ignorance.........
 
Wewe ulikuepo? au ndo uzumbukuu uleule wa kuwababaikia wageni.

Kapime huenda ngoma ishatinga, ka-zygote kanakua tumboni.
dogo hio ndio situation inayofahamika kokote walipo wabongo wanataabika ndio ukweli sasa kama mnataka ligi maana nyie kila kitu kwenu ligi basi endeleeni....
Some of our educated brothers and sisters are increasingly unhappy and openly frustrated with USA way of life. Highly educated Tanzanians are currently working in embarrassing lower paying jobs like nursing assistants, hard labor and taxi drivers.

Most of them who rushed to USA just after their college graduation walk are increasingly find themselves out of touch with reality, most of them are still fantasizing how good their peers are doing back home, most of them are turn their frustration to clubs and prostitution to end pain inside.

This forced me to ask myself two questions (1) why (2) what can we do to help them. (1) Why? USA is very different from TV shows or fanatic lifestyle you all see on TV when you land in USA you are going to find out three important things (a) You must work to survive (b) Education is very expensive (c) You have a big possibility of violating US-Laws and traditional morals on the process of succeeding in U.S.A.

You need to know the following in detail first. Work to survive: If you work without a permit is illegal, given that fact if you don’t have enough money in your pocket minimum of $1600 a month you must work.

To work in USA you need personal identification number called Social Security Number, so that means you need Social Security Card for work identification. The problem you are going to face is most highly paying jobs are increasingly sensitive to illegal Social Security Cards, which are mandatory to any job.

The other problem you are going to face is the fact that your USA host friends are not going to let you jobless just because of documents since everybody is doing it why not you? From beginning of your journey you are going to find yourself compromising your traditional morals and dreams you have for USA.

After few months without any source of income you are going to find yourself under desperation and pressure to do something quick to make a living possible.

Social Security Number: To work legally in USA you need Social Security Number, but due to political pressures the process of getting Social Security is more complicated than ever. For International Student to get SSN # you need to be In Status and that means to be a full time student. .

Education: For an international student to qualify for any benefit he/she must be in student status, that means you need to maintain 12hrs of college classes per semester and your performance status should be “good academic standings”.

Together with education one of advantage of good status includes Social Security Letter, which students used to get Social Security Number. For a regular State college cost of international student for 12 hours semester is ranging from $4000-$8,000 plus or minus, One Year is two semesters. This cost is not only ridiculous but also laughable for a middle class young Tanzania to keep up with.

Some Students with higher performance in GMAT or GRE may get a break of paying out of state fees, so the real cost is going to be around $2,000-$5,000. You must also consider the fact that getting scholarship is easy said than done. What can we do to help them?

There’s no clear answer to this questions everybody think differently, however I am going to give my opinion honestly.

Social Behavior: In my first paragraph some people may end up with conclusion that I called all Tanzanians graduate frustrated but I am not.

Background: Young Tanzanians started a massive immigration to USA in 1996, most of them young student who completed their Advance levels. Most of them aged between 20-23 years of age. With older Tanzanians distance themselves with this young Tanzanians they learned fast how to hustle. This young group went through ups and downs just like any other young people but at the end of day they learned how to maneuver complicated life in USA.

Those Tanzanians who came here after college find themselves living the past of their fellow high school classmates’ example documents hustles, boyfriends and girlfriends, clubbing. The only problem is the fact that now they have to do this at 25-27 years of age and not early 20’s.

This group who went to high school together find themselves share very few things in common socially example. Those Tanzanians graduates came here with the altitude that they are smarter than their fellow high school mates because they did not make to local colleges like UD, Mzumbe or Sokoine, but their fellow mates who immigrate to USA became more matured and street smarter.

This situation put many Tanzanians who graduate abroad very uncomfortable, most of them decide early they rather face problems with lack of street awareness rather than shameful asking embarrassing question or help to those who they ones consider looser’.

The behavior is still common here in United States. What is your Take on this? Stay and Hustle or Go home before is too late?
 
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.

haha Smatta here you again. Kwa bahati mbaya wewe Smatta una tabia za watanzania na wewe huwa hutaki kuambiwa ukweli, hasa pale tunapowazungumzia wakenya.

As to Tanzanians wanaoishi Afrika Kusini ni kweli kabisa, nasikia hata Ulaya wengine wako hivyo hovyo na wanaogopa kurudi nyumbani. Lakini do not tell me that there are no Kenyans.
 
Back
Top Bottom