du, we jamaa sio kabisa . yaani mke wako anakata mauno mbele ya mwanaume na wewe unasema ni poa?si kaolewa huyu? hizi ni kazi za mabinti sio za mke wa mtuTatizo lipo wapi kama kikundi chenyewe pengine ni cha NGOMA
badae unaona hii picha anacheza mbele ya mwanaume mwenzako tena na mwanenu mgongoni
Hivi jamani lazima kila kitu kisuluhishwe kwa kisago?angemshusha mtoto asimuumize ila hapo anahitaji vibao makofi kadhaa akili zimkae sawa.
Kuna wezi wa watoto siku hizi akimweka chini tu imekula kwake.Haidhuru kama kikundi chao kina ngoma ndani yake au huwa wana shughuli za kijamii,labda cha kumshauri tu ni kuwa kucheza ngoma na mtoto mgongoni si jambo la busara.
Kuna wezi wa watoto siku hizi akimweka chini tu imekula kwake.
Hivi jamani lazima kila kitu kisuluhishwe kwa kisago?
Kuna mtu kafungwa kamba au mnyororo hapo,au bakora kashikiwa mtu hapo?hapo hamna unyanyasaji ni mbinu tuu za kuongeza kipato na kutafuta kale kamkate ketu ka kila siku!!unyanyasaji mkubwa
tired of being fooled!!Kuna mtu kafungwa kamba au mnyororo hapo,au bakora kashikiwa mtu hapo?hapo hamna unyanyasaji ni mbinu tuu za kuongeza kipato na kutafuta kale kamkate ketu ka kila siku!!