Android kweli wana free app nyingi kwenye playstore lakini ulishajiuliza best game apps zinaangukia iOS
iOS 11.4.3 : inaingia kwenye 89.82% ya iphones ila umeshajiuliza ni simu ngapi za android zinatumia latest Android 8.0 Oreo ni 0.8% tuu.
FaceTime na iMessage zinakuja tayari ziko installed na...
ninachoona kwenye mada kama hii kuituhumu serikali ni kukituhumu chama cha mapinduzi, je unategemea kwa akidi yao pale bungeni na uzalendo wa vyama watakubali kuhoji au ni kushutumu upinzani unakurupuka na takwimu ambazo tunaona Mhe. ameshapiga marufuku takwimu.
aKiakili za kawaida utaona ni waelewa ila kumbuka kuwa na wao wananyatia kiumbe kama wewe waingie kwenye ndoa maana kwao 25years ndio umri wao ukipita hapo wanaanza kupatwa matatizo ya akili kuona hawaolewi.
Njia bora kabisa ni kuwa muwazi kwake. Ukifanya hivyo atakuwa anaona dhana aliyonayo kwako anakosea na taratibu atabadilika. Kumbuka usipokuwa makini kuwa muwazi kwake itapelekea kuharibu uhusiano
Nasikia jamaa wa CHADEMA wanawaambia Madiwani wasishirikiane na serikali, sasa huu kweli si ujinga. Wananchi watapata wapi maendeleo bila kushirikiana na chama tawala ambacho kinaongoza nchi kutokana na Ilani yao ya uchaguzi.
1. Huyu boyfriend kila tukiwa pamoja hapendi kunishika mkono wakati tunaongozana nilivomwambia hii tabia siipendi akabadilika lakini kila akiona watu anaachia ukimuuliza nn tatizo aah anii sijazoea.
Kwanza naona unamapenzi ya kupenda kuonekana na watu, mtu akikupenda sio lazima mshikane.
2. Bf...
ndoa ni kuheshimiana, kuvumiliana na kupendana. Sidhani sana kama hao mababu zetu waliishi ndoa zenye upendo kama tunavyodhani (mfumo dume uitawala). Naamini ukitenda wajibu wako na wife wajibu wake mtaelewana sana tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.