Wajemen nna ndugu yang aliabotion kama mara3 last year kwa kutumia misoprosol sasa ameshka mimba kwa zumun lakuzaa na ina 2weeks ila chakushangaza anaona uchafu watoka ulochanganyika na dam jee hili nitatizoo lilo tokakna na dawa zile? na afanyajee ? Kutatua hilo
Bora ya nyie wenzetu imeanza jana sisi huku mtwara ni majangaa mwezi 5 xaivi hapa kwenyewe nnavo2ma coment hii toka asubuhi hakuna umeme alikuja waziri wa nishati akatumbua mtu na akatoa uhakikisho wa umeme kuwepo hasa mjini lakin mambo yako vilevilee yan kama juzi tumekesha 26 hours bila umeme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.