Recent content by snoope

  1. snoope

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Mweny iphone6s iliyo mfia u ina i claud nahitaji kioo chake anicheki 0716734998
  2. snoope

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Mkuu vip ushapata kuna s6 edge jiwe saafi kabisa
  3. snoope

    SamsungS5 inauzwaaa mpyaaaaa

    Mkuuu ongeza basi 70 nkupe simu
  4. snoope

    SamsungS5 inauzwaaa mpyaaaaa

    Samsung s5 inauzwa 300k na HDMI CABLE YAKE 16Gb 0716734998
  5. snoope

    Msaada haya madhara ya misoprosol au la?

    Wajemen nna ndugu yang aliabotion kama mara3 last year kwa kutumia misoprosol sasa ameshka mimba kwa zumun lakuzaa na ina 2weeks ila chakushangaza anaona uchafu watoka ulochanganyika na dam jee hili nitatizoo lilo tokakna na dawa zile? na afanyajee ? Kutatua hilo
  6. snoope

    Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo

    Haahaaa daah unenikumbusha mbali kinyama mi mwenywew nlikua wa Azania kipindi hicho maisha ya shule baana
  7. snoope

    NISAIDIE TATIZO HILI LA SIMU YANGU

    Tatizo betry hio imekufaa badilisha mkuu,kama unawaranty nenda ulipo nunua watakubadilishia
  8. snoope

    Utengenezaji wa juisi ya Stafeli

    Nipo mtwara hayo matunda huku mengi mno kama umtu anahitaji tufanye biashara buku2 hadi 2 dala unapata bonge la tufee tuu
  9. snoope

    Makopa mhogo

    Uko sirious mkuu
  10. snoope

    Tuliounguza account za Forex trading

    Brother itakua poa kama utatuweka kwenyew time table yako ya lecture la forex huku mtwara joomba
  11. snoope

    Mtwara: TANESCO wapuuza agizo la waziri wa nishati, mgao wakutisha unaendelea.

    Daaah wenye mahoteli ndo wanahemaa nafanya kazi hoteli moja hapa yani kila siku genereta deseal lita 400 yaan nomaa
  12. snoope

    Nyie Tanesco Mwanza kanda ya Nyakato ,Ilemela!!

    Bora ya nyie wenzetu imeanza jana sisi huku mtwara ni majangaa mwezi 5 xaivi hapa kwenyewe nnavo2ma coment hii toka asubuhi hakuna umeme alikuja waziri wa nishati akatumbua mtu na akatoa uhakikisho wa umeme kuwepo hasa mjini lakin mambo yako vilevilee yan kama juzi tumekesha 26 hours bila umeme
Back
Top Bottom