Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,601
- 8,441
Salam
Samahani wakuu....simu yangu ni mpya haina mda mrefu "samsung grand prime+"
Sasa nashangaa kila nikichaji full inaenda mpka ikifika 60% inazima.....yani kila inapofika 60% inazima kabisa nakuonesha kwamba chaji empty.......na nikiweka chaji inaanza kabisa kujaza from 0% tena bil a aibu......na inapozima haiwaki kabisaa jamn.
Tatzo ni nini nisaidieni.
Samahani wakuu....simu yangu ni mpya haina mda mrefu "samsung grand prime+"
Sasa nashangaa kila nikichaji full inaenda mpka ikifika 60% inazima.....yani kila inapofika 60% inazima kabisa nakuonesha kwamba chaji empty.......na nikiweka chaji inaanza kabisa kujaza from 0% tena bil a aibu......na inapozima haiwaki kabisaa jamn.
Tatzo ni nini nisaidieni.