Kwa upande wangu naona suala hili limekaa kiutamaduni zaidi wa eneo husika,hii ni kutokana kua kuna maeneo mengine unachoona wewe ni dhambi kwa mwingine sio dhambi.
Kwa mfano kuna nchi wanaume wanavaa sketi,joho au msuli LAKINI pia kuna nchi wanawake wanavaa sketi au joho.
KWA HIYO HII INAITWA...
Mtoa mada huenda hujasoma shule kabisa,soma kwanza kabla ya kuleta mada zinazokuchora jinsi ulivyo pumba.
Matibabu kwa mbunge ni haki yake na sio fadhila ya CCM.
Kaolewe nae uone kama kweli wewe ndie Mke wa ndoto Yake,wakati wewe unaota ndoto na yeye anamuota MTU wa ndoto Yake,ingia ndani uone hizi ndoto zako za alinacha.....
Wewe ni Malaya na bado unajisifu kwa kum cheat mumeo......
Hii nchi inafurahisha sana,yaani MTU akiwa upande wa kijani anakuwa mtakatifu sana,kimbembe huja akikihama chama cha kijani yaani hapo ndio kila story utaisikia,mlikua wapi kuandika haya kabla hajakihama chama?yaani kuhama chama tu tayari mnampa kashifa zote,.Ina maana unataka kutuamisha kuwa...
Hapa kwenye ushoga sio kutofautiana mtazamo Bali ni uhalisia kabisa,MTU mweusi ushoga sio utamaduni wetu kabisa,so kuadhibiwa ni sawa kabisa,
Haitakiwi kutetea upuuzi huu kwa namna yoyote ile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.