Boss mambo?
Nahitaji kununua Vifaa vya electronics kwaajili ya kompyuta Naomba unielekeze nahitaji kujaribu aliexpress maana ni rejareja sorry bro my no. Ni 0746848506/0711633656
Habari wanajf?
Naomba msaada wanajf Jaman jinsi ya kupurchase vifaa vya electronics online kutoka kwa makampuni km aliexpress, eBay, Alibaba, amazon na mengineo vipi huduma zao zikoje, unanunuaje na unapokeaje? Nchini mwako km Tanzania
Habari wanajf?
Mm ni mfanyabiashara ninajihusisha pia na biashara za burudani na mambo yanayohusiana, Ninahitaji mpiga picha wa kisasa na mwenye taaluma ya graphics design kdg ili afanye Kazi namm kwenye studio yangu .
Kwa Maelezo zaidi nichek kwa namba 0746848506/0711633656
Habari kaka ?
Nimeona Unatoa mawazo hapa kwa hii post kuhusu biashara ya forex ambayo nimeigundua miezi sita iliopita na kuanza kufanya trading kidogo
Ila kk nimevutiwa na bitcoin Pia kwa kifupi mtu km ww unifanyie japo mentoring km walimu wengne nikapata ufunguo japo
Ww hujui unachoongea, uhurukenyatta ni rais wa demokrasia amewapa uhuru nchi na uongozi wanafuata sheria na katiba ndomaana vitu km hivo vipo ila kiukweli uchaguzi utarudiwa na atashinda uhurukenyatta.......
Odinga asahau kuhusu urais watu wake wanawa assasinate watu wa uchaguzi
iPhone 6s
Ile ilikuwa ni tottenham 0-chelsea 2 kulingana namm, batshuayi angekaa nje tu naona mpnz wetu morata Ana Balance kwenye kikosi now, katikati bakayoko hajaonekana ila ni mechi yake ya Kwanza nevertheless,
Tusahau machungu ya last week
iPhone 6s
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.