Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633656 au 0746848506
iPhone 6s