Nafasi ya kazi UAE

Nafasi ya kazi UAE

Tulizana kwetu Tz waarabu ni washenzi kupita maelezo ngozi nyeusi kwao ni najisi dola 400 ni nini mbona rahisi kuzipata ukiwa serious

Sent using Jamii Forums mobile app
DONT JUDGE THE BOOK BY ITS COVERS....maelfu ya watanzania wameajiriwa kwenye nchi za kiarabu na wamefaidika na vibarua hivyo...Wewe kaa hapa hapa tu hujaambiwa kwenda kilazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: smy
Hizi kazi ambazo hazitajwi, zina mashaka.. juzi juzi tu niliona clip ya mdada wa kibongo akigegedwa na wazungu kwa kwa kulazimishwa kisa alidanganywa kuna kazi.
 
Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633656 au 0746848506

iPhone 6s

Mtu yeyote anayetaka kwenda huko itabidi aulize maswali muhimu yafuatayo.

1. Huyu anayetafutia kazi watu , kampuni yake imesajiliwa Tanzania kufanya kazi hizo na wameingia mkataba na wizara ya Kazi, ajira ...
2. Wizara ya mambo ya Nje imefahamishwa juu ya kampuni, wanaotafuta wafanyakazi toka Tanzania.
3. Hiyo kampuni ni kampuni gani na inafanya shughuli gani huko UAE na imesajiliwa huko UAE?
4. Wanatafuta wafanyakazi wa sifa zipi?
5. Usaili wa kazi unafanyika wapi?
6. Mkataba wa kazi unasainiwa kwa sheria ya ajira ya wapi
7. Wameshawahi kuajiri watu na hasa kutoka eneo la Afrika Mashariki na Tanzania kwa ujumla.

Yapo maeneo kadhaa ya kuuliza maswali, ukijiridhisha na angalau hapo juu , unaweza kuamua kama inafaa au vipi.

Kila la kheri, wanaotaka kazi UAE.
 
Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633656 au 0746848506

iPhone 6s
Embu toa huu uchafu wako huko, wataftie ndugu zako ukoo mzima wote,

Yani mnafanya udalali mpaka kwenye maisha ya watu hopeless kweli, lalifool
 
Hawa ni wezi wakubwa, eti uwape dola 2000 wakufanyie mpango wa visa etc. Kuweni makini,
33e0468f7a5b8dcb3369be1b12309fa2.jpg
 
wameumbuka vibaya matapeli hao ndio maana wameshindwa kusema Kazi gani
 
Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.

Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.

Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.

Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633656 au 0746848506

iPhone 6s

Anayetaka asije akaambiwa kwanza alipe dola miambili za forms watanzania jihadharini na matapeli Kenya waliibiwa Kwa njia hizi sana lipa dola arobaini kwa viza dola 500 air ticket Kwa experience Kwa nnchi za kiarabu ticket anakata muajiri but mletamada anasema mwajiriwa agharamikie ticketi utapeli ndio unapoanzia hapo maisha ni magumu sana na inaudhi kuona mtu anataka kuwaibia watu masikini wenye shida inauma sana. Sijasema jamaa ni tapeli bali mtu anayetaka kwenda awe makini kama ticketi kata mwenyewe viza lipa direct bank kwa ubalozi usikubali kumlipa mtu akakufanyie ndio mwanzo wa utapeli
 
Kuendelea kuchati kwenye huu uchafu bila modes kuudelete hawatutendei haki.

Funguieni huyu jamaa kwa kuendeleza utapeli humu JF
 
Astashahada, stashahada,shahada wote mnaweza kwenda kutegemea na taaluma yako

iPhone 6s
Mkuu hilo bandiko lako kama lina utata,mbona kaz hazijawekwa ili mtu ajue anaomba kaz ya aina gan,maana ukiweka namba ya simu ndo yatakuja yale mambo ya tuma kwanza ela nkuunganshe na wahusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utapeli at work.
utaambiwa umefanikiwa tuma fedha za visa na nauli.
then ndio mwisho wa mchezo.
 
UAE unamaaniaha United Arab Emirates au??? Kama ni huko bora niendelee kuisoma namba tu nisubiri vi-wonder...

Kama ni kifo bora kinikute hapa home kuliko kukifuata kwa maharamia huko...

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
ahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom