Pole Dada, na hongera kwa kuweka wazi, kwa Leo hii wewe unaweza ukawa sijui wangapi kukujibu maswala haya ya kufanya na mwenye Ukimwi na usipate, ni kweli lakini Mara nyingi wale wanaotumia dawa effective wana uwezekano mkubwa wakuto ambukiza wenza wao, lakini kwa situation yako inawezekana huyo...
Juzi nilikuwepo viwanja vya mnazi mmoja kumuaga marehemu Rweyemamu, niliona jinsi walivyokuwa wanatafuta nafasi yakuongea na Makonda sema bahati mbaya makonda alikuwa yupo busy huku akisubiriwa na wataalamu wa afya katika kuweka sawa mandalizi ya mwisho kuhusu upimaji afya bure...
Bila shaka...
Huyo kikwete ana wapaka mafuta kwa mgongo wa chupa , upinzani wasivyojielewa wataipa promo hiyo kauli kana kwamba hawajui Kikwete ndio alie hakikisha Maguli ana shinda na Sheni pia, Natamani turudi enzi ya chama kimoja, upinzani wa nchi hii hauna maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Paragraph yako ya mwisho imekuwa na mashiko sana, hata Mimi huwa naonaga aibu wale mademu wakiniambia Nina MBA sasa nikikataa nitaonekana mchafu au mshamba, OK huwa nakataa BT ninakuwa nimeondoka na dhana kuwa watakuwa wamenionaje sijui, sasa wewe umenitia moyo....
Nitawatolea nje macho...
Hili tatizo ni kubwa, sio verification tuu, hata transcript na vyeti wameshindwa kutoa kwa wakati, juzi kati wizara ya afya imetangaza nafasi za kazi imekuwa ngumu kwa waliomaliza 2015/2016 kufanya application.
Maana matokeo walio nayo watu ni statement of results from chuo na sio transcript...
Mita 120 ni nzuri sana, tutapata barabara kubwa na nzuri kwa vizazi vijavyo, kujenga pembeni ya barabara ni risk sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.