Once again, Mbappe anaonyesha vile alivyo sumu hatari ndani ya dressing room.
Real Madrid mnahitaji kocha mkali, anaeweza kucontrol dressing room na kucrush egos za hao vijana wenu. Bahati mbaya, siwaoni hao makocha kwa sasa, labda kama mtaweza kumtoa Klopp kwenye ustaafu wake. Huyu Abeloa...
Nakubaliana na wewe. Mleta mada alikubali kirahisi maswali yampeleke nje ya msingi wa mada yake. Mwishowe, yale yaliyokua "extra", ndio yamekua mada kuu!
Watu wameuawa. Alafu linakuja lijinga limoja ambalo lilikaa darasani likasoma sheria, na bado linasema "yaliyopita si ndwele, tugange yajayo".
Ulaaniwe mpaka kizazi chako cha nne!
Comprehension ndio shida kwenye huu uzi. Sababu kubwa, ni mleta mada kugusa ukatoliki na kama unavyojua watanzania wenzangu, ukigusa dini hakuna utakachosema waelewe.
Nilivyoelewa mimi, msingi wa hii mada sio madhaifu ya kanisa Katoliki, bali ni msimamo wa yale yanayopiganiwa na kanisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.